Kung fu panda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 748
- 788
kama ni wakiume Mkuu mfungulie banda la kuonyesha mpira,kwa makelele na fujo za wadau hapo ofisini kwake ndan ya wiki 1 tu dogo ataku avizuri usisahau kuleta mrejesho Mkuu
Hongera Kwa baadaye kuwa stable, maana ukitoka chuo/nilivotoka chuo nikaanza kuchora ramani ya maisha,nikijisemea hapa nikipata kazi ntafanya hivi na hivi full kujipa hopes,sasa uhalisia ni no job aisee,unahisi kuchanganyikiwa ,stress kibao
Solution ni kama hivo kujikeep busy na vibiashara, inasaidia sanaa
Pole usiruhusu sonona kuwa sehemu ya maisha bana, itoe kabisa unakwama wapi?
Duuuh,wakati nipo chuo nilikua siamini kama mtu anaweza ku survive kwa mshahara wa laki mbili na bado maisha yakaenda ila mtaani ni noma sana.
Jinsia yake ni ipi ,Ke au Me?Habari
Kuna mdogo wangu mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu mwezi wa 7.
Baada ya kumaliza chuo nilimfwata nyumbani kwa mzee nikamchukua nakuishinae hapa nyumbani kwangu.
Lakini baada ya kukaanae nimegundua kuwa dogo anapresha ya maisha, yani anastress kutokana nakuwaza sana maisha.
Hali hiyo humfanya kutokuwa na furaha kabisa ilhali hakuna anachokosa hapa nyumbani maana anakula vizuri na kulala vizuri.
Sasa ndugu zangu naombeni ushauri nifanye nini hili nimsaidie dogo maana naona anakosa furaha muda mwingi asijekuathirika kisaikolojia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpe pombe
Kama ni HustlerKimbe hali kama hii inawapataga mpaka mabinti
mzigo gan mkuuMtafutie milion moja halafu nimuunganishe na jamaa wako China na Vietnam aagize mzigo auze aanze kupiga hela baadaye atakuwa ashazoea maisha
Bidhaa mbalimbali,nguo,viatu,soka,simu,nkmzigo gan mkuu
Amesoma kozi gani? Mtafutie japo intern.Habari
Kuna mdogo wangu mhitimu wa chuo kikuu mwaka huu mwezi wa 7.
Baada ya kumaliza chuo nilimfwata nyumbani kwa mzee nikamchukua nakuishinae hapa nyumbani kwangu.
Lakini baada ya kukaanae nimegundua kuwa dogo anapresha ya maisha, yani anastress kutokana nakuwaza sana maisha.
Hali hiyo humfanya kutokuwa na furaha kabisa ilhali hakuna anachokosa hapa nyumbani maana anakula vizuri na kulala vizuri.
Sasa ndugu zangu naombeni ushauri nifanye nini hili nimsaidie dogo maana naona anakosa furaha muda mwingi asijekuathirika kisaikolojia
Bidhaa mbalimbali,nguo,viatu,soka,simu,nk
China Kuna mambo mengi Nokia kitochi sh.11,000hv milion 1 inatosha kuagiza smu kwel au ndo ile anachukua smu mbili tatu za kuzugia