Huwa napata wakati mgumu sana ninaposikia watu waliooana na kuzaa, halafu mmojawapo anaona kuachana ndiyo jawabu la matatizo yaliyojitokeza kati ya huyo mume na huyo mke. Nilitegemea kuwa kama mmezaa basi fikra kubwa ingekuwa kufikiria hatma ya maisha ya hawa mliowazaa bila ridhaa yao.
Inanipa...
Wote wapate UJUZI, UFUNDI STADI na umahiri katika kutumia Technologia ya Computer ili wawezeshe kujiajiri, kuajiriwa na kuongeza UFANISI na TIJA katika shughuli binafsi, Biashara, viwanda vidogo na vikubwa.
Hivi dunia nzima wanaume wana mawazo hayo? nahisi wapo wengine wamewaelewa na wanaishi na wanawake RAHA MUSTAREHE......! KAMA NA WEWE UMEYAELEWA VIZURI HAYO NAWE PIA UTAISHI NAO VIZURI BILA SHIDA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.