Habari Ndugu Zangu,
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 24 nina ishi mkoa wa Dar es salaam.
Nilihitimu masomo yangu katika ngazi ya Diploma ya Komputa na Teknolojia ya Habari (Diploma in Computing and Information Technology) katika chuo xx.
Pia nina mafunzo na kuhitimu Kwa kuwa na professional certificates CISCO na CCNA.
Nina uzoefu wa maeneo kadhaa niliyowahi kufanya kazi,
Niliwahi kufanya kazi Mkoa xx kama BVR kit operator.
Niliwahi kufundisha College xx kama Mwalimu wa somo la Komputa.
Niliwahi kufanya kazi katika kampuni xx kama IT technician supporter.
Niliwahi kufanya kazi katika kampuni xx as a Network operator.
Kama nitaweza kupata kazi iliyo ndani ya taaluma yangu au hata iliyo nje ya taaluma yangu Nitashukuru Sana.
Asanteni Sana.
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 24 nina ishi mkoa wa Dar es salaam.
Nilihitimu masomo yangu katika ngazi ya Diploma ya Komputa na Teknolojia ya Habari (Diploma in Computing and Information Technology) katika chuo xx.
Pia nina mafunzo na kuhitimu Kwa kuwa na professional certificates CISCO na CCNA.
Nina uzoefu wa maeneo kadhaa niliyowahi kufanya kazi,
Niliwahi kufanya kazi Mkoa xx kama BVR kit operator.
Niliwahi kufundisha College xx kama Mwalimu wa somo la Komputa.
Niliwahi kufanya kazi katika kampuni xx kama IT technician supporter.
Niliwahi kufanya kazi katika kampuni xx as a Network operator.
Kama nitaweza kupata kazi iliyo ndani ya taaluma yangu au hata iliyo nje ya taaluma yangu Nitashukuru Sana.
Asanteni Sana.