Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 983
Wazima jamani!?
Naandika uzi huu nikiwa nabubujikwa na machozi kwa sababu ya maisha yanavyobadilika. Nakumbuka mwaka 2011 dada angu alimaliza chuo cha ualimu na mwaka 2012 akapata ajira. Lakini mimi na vijana wengine wengi tu tumehitimu Vyuo vikuu na bado tunaendelea kufanya kazi zilizo nje ya taaluma yetu.
Ni kawaida sasa kukutana na Degree holders wakichoma mahindi, wakiuza uji, wakifanya vibarua n.k jama hivi kweli serikali haituoni jmn. Katika bajeti ya mwaka 2020/2021 nimeona kutakuwa na ajira 40000! Hivi hizo ajira zinaenda na idadi ya wahitimu waliopo mtaani kweli?
Huwa naumia sana pale ninapokuwa nafanya kazi ambazo zipo nje na taaluma. Mbaya zaidi kuna watu tumesoshwa na serikali kama walijua kuwa hakuna ajira kwanini hawakutupa hiyo pesa tufanyie kazi nyingi?
Sema kweli inauma ila basi maisha tu
Naandika uzi huu nikiwa nabubujikwa na machozi kwa sababu ya maisha yanavyobadilika. Nakumbuka mwaka 2011 dada angu alimaliza chuo cha ualimu na mwaka 2012 akapata ajira. Lakini mimi na vijana wengine wengi tu tumehitimu Vyuo vikuu na bado tunaendelea kufanya kazi zilizo nje ya taaluma yetu.
Ni kawaida sasa kukutana na Degree holders wakichoma mahindi, wakiuza uji, wakifanya vibarua n.k jama hivi kweli serikali haituoni jmn. Katika bajeti ya mwaka 2020/2021 nimeona kutakuwa na ajira 40000! Hivi hizo ajira zinaenda na idadi ya wahitimu waliopo mtaani kweli?
Huwa naumia sana pale ninapokuwa nafanya kazi ambazo zipo nje na taaluma. Mbaya zaidi kuna watu tumesoshwa na serikali kama walijua kuwa hakuna ajira kwanini hawakutupa hiyo pesa tufanyie kazi nyingi?
Sema kweli inauma ila basi maisha tu