unajuwa hawa ndugu zetu ni wajinga au wapumbavu,Sir God haangalii mavazi,na hyo mavazi wanayoyasema wao n ya eneo fulani huko ndo vazi lao la asili na siyo dini,tatizo elimu yao imewapitia kushoto,watakuwa wajinga mpaka Yesu atakaporudi hakuna kuwastua waacheni kama walivyo