Vuta subra anakucheki tabia.. Ahahhahaah
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
Ni zaidi ya miezi minne tupo kwenye mahusiano. Kuhusu kunipenda sina mashaka nae kwa hilo.
Cha ajabu kila nikimchombeza huishia kununa, nimeshatoka jasho zaidi ya mara tano kumlazimisha ku-do kwenye 6*6.
Nimeshamtangazia mpaka ndoa mola akijalia lakini wapi, hataki kutoa.
Nimekuwa nikimuweka sawa kisaikolojia lakini akishaona nachojoa nguo anakuwa kama mbogo.
Ananiambia hilo ni tatizo lake la asili tangu zamani na wanaume wamekuwa hawamuelewi na kuishia kumuacha.
Mimi nimechoka, kabla sijamuacha hebu wana jamvi nipeni ushauri wenu.
Ndugu tutaendeleaje katika hali hii huku mimi nikiwa sijui UPANDE WA PILI WA SHILINGI WA MWENZANGU..?
subiri ndoa mkuu, ukiona mdada ni mwepec kukuvulia nguo jua huyo hakufai hata kidogo. Hebu vuta subira!
Ni zaidi ya miezi minne tupo kwenye mahusiano. Kuhusu kunipenda sina mashaka nae kwa hilo.
Cha ajabu kila nikimchombeza huishia kununa, nimeshatoka jasho zaidi ya mara tano kumlazimisha ku-do kwenye 6*6.
Nimeshamtangazia mpaka ndoa mola akijalia lakini wapi, hataki kutoa.
Nimekuwa nikimuweka sawa kisaikolojia lakini akishaona nachojoa nguo anakuwa kama mbogo.
Ananiambia hilo ni tatizo lake la asili tangu zamani na wanaume wamekuwa hawamuelewi na kuishia kumuacha.
Mimi nimechoka, kabla sijamuacha hebu wana jamvi nipeni ushauri wenu.