Achahasira
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,213
- 214
hapo kwenye red ndo akili zako
samahani,eti nimekuumiza?
hapo kwenye red ndo akili zako
raha ni pale makahaba na wauza miili aka changudoas wanapokamatwa na kufikishwa mahakamani kwa kosa la uzembe na uzururaji majina yao utasikia,zuhura,asha,hamida,mwanahamisi zainabu,amina,hadija,na mengi ya jamii hiyo....
ali hubiri nini?
aliwaambia musali lkn muuze miili yenu?
mungu anapenda vimini ? muendele kuvaa hivo na mumche mungu?
kwanza nikusafisha ndani alafu uje nje.
eti inawezekana muumini wa kweli awe mchafu madhabi ya kutamanisha watu na kuuza mwili wake kwa mavazi machafu ?
unajuwa hawa ndugu zetu ni wajinga au wapumbavu,Sir God haangalii mavazi,na hyo mavazi wanayoyasema wao n ya eneo fulani huko ndo vazi lao la asili na siyo dini,tatizo elimu yao imewapitia kushoto,watakuwa wajinga mpaka Yesu atakaporudi hakuna kuwastua waacheni kama walivyo
kama huyo SIR GOD. haangalii mavazi, basi yesu vazi lake lingekuwa bukta juu wazi!
na mapadri na masheikh msiktini wangefanya hivyo hivyo ilikuwa karibu na SIR GOD
tatizo akili za kukopeshwa ndio zinawasumbua
kuna point mbili hapa
1) huwezi kuwa unamwogopa mungu kwa kuvaa mavazi mabaya,na huwezi kuona muumini wa kweli kavaa kimini alafu anakuambia mungu haangalii mavazi bali moyoni.basi kama mungu anaangali moyoni tungemwona bi maria katuvalia kimini na kijeans
2)si katai kama mavazi sio imani kamili,bali imani huwa moyoni kisha kwenye mwonekano wa nje.mtu mchafu ni mchafu tu akitaka kufanya dhambi atafanya popote kanisani/msikitini hajali awe amevaa mavazi ya masister wa kanisani au mapadri na masheikh.
lkn tujue kuwa mavazi ya kujistiri mwili vizuri ni moja ya kitambulisho muhimu sana kwa muumini wa KWELI,
huwezi kumwona dada kaingia kanisani na bikini alafu anakuambia mungu haangalii nje anaangalia ndani tu,kweli huyu anamwogopa mungu ?
Mbona una hasira babu, kwani nani anajiuza pale? Kuvaa suruali sio kujiuza. Na wewe uonaye mapaja ukayatamani ni dhahiri mawazo yako yapo huko.
Na kwa taarifa yako, malaya wa Mombasa huvaa Bai Bui mpk wakapata jina la BuiBui. We ukifika Mombasa uakataka mambo yenu yale ulizia BuiBui, na kama ulikuwa na hamu na vitoto vya kiarabu basi inshallah na wewe utaonja kwa mara ya kwanza
Ni kweli kaka, mungu anaangalia MOYO.Yote ni macho ya wanadamu,
aISEE HATA MIMI NAWASHANGAA HAWA JAMAA , ETI WANATAKA ZIWA KWA NGUVU, SI WALIBEBE WALIWEKE KATIKATI YA NCHI YAO KAMA WANAWEZA?
Niko bize nawashangaa Wanyasa, eti wanajifua.
Hili ndilo jicho langu usiku huu
Tatizo kubwa la ndugu zetu ni kuchanganya wivu wa kiarabu ,tamaduni za kiarabu na Mungu,huko uarabuni kiwango cha joto ni zaidi ya 45c,na wamemvalisha mwanamke liguo jeusi linalosharabu mwanga ili asitoke ndani na hata akitoka basi cha moto akione kwa kuunguzwa na jua ,wakati wanaume wamehakikisha kuwa wao wanavaa kanzu nyeupe rangi inayoakisi mwanga na kupunguza miale inayomchoma mwilini.Sasa ndugu zangu mnaopokea dini kimapokeo tu mnataka kuwalazimisha na dada zenu wajifunike minguo mwili mzima kwa kisingizio kuwa watamwona Mungu hamuoni kuwa ipo siku mtakayotakiwa kujibu kwa unyanyasaji huo mliomfanyia mwanamke..??
unaujua utamaduni wa waarabu wewe au?
usiwe wale watu wakimwona mwarabu basi ni mwislamu,na tamaduni za kiarabu basi ni za kiislamu,
vizuri ungeuliza,
Ninaujua kwa kuusoma,naninaujua kwa kuishi nao,na hakuna kiumbe kinachoongoza katika dunia kukiuka haki za binadamu kama mwarabu kwa kisingizio cha dini,na nyie mliopumbazwa kuwa uarabu ni ustaarabu basi kila mwaka mnafunga safari kwenda huko eti nguzo ya dini,hujui kuwa huo ni utalii waliojiwekea ambao wala hawana gharama za kuutangaza kwa kuwa wanajua tayari wameshakamata soko.Jiulize swali rahisi tu,Mungu wako yuko wapi mpaka kila kitu ukifanyacho uelekee uarabuni(kibla)kwani ukisali sala yako chini ya muembe kijijini kwako bila kuelekea uarabuni Mungu wako hatakusikia..??
ala naona mumeokoka hahaha kwani mimi nasema waislamu wote ni SAFI?
kwetu iringa nasikia maria,gresi,gloria,happy vp hapo?