Habari wanajamvi!
Mie ni mhimtimu wa shahada katika fani ya biashara (Bcom) kutoka chuo kikuu cha dar es salaam.
Nimeomba nafasi mbali mbali zaid ya kumi za kazi katika tovuti ya ajira bila mafanikio ya kuitwa katika usaili hata mmoja. Nikaona si vibaya kwenda kuuliza labda kuna kitu nakosea...
Ila cha kushangaza hao black american hawapendi kabisa kuitwa waafrika. Na pia ni rahis mno kwa mtu kutoka afrika kuwa na urafiki na whites kuliko hao black american.
Watu weusi kweli tunalaana. Yaan wao huko kwao ukienda wanatutenga na kutuona sie ni kama tunawaaibisha.
Wakati sie huku...
Ungesikiliza kwanza story yake ndo uje upost. Naona kama umekurupuka, hizo story za wanigeria ni tofauti na hii ya Dr Shika.
Zile zinakuwa kama bahati nasibu au zari la mentali kwa lugha za kimtaan ndo wanakokupigia. Dr. Shika kutuma kwake pesa ni muendelezo wa episode yake ya huko alikokuwa...
mkuu nimesoma comments zako nimekuelewa saana. yaani ni kama kioo vile, maana mie pia ni mkali mno. nikisoma unavyiandika ni kama naangalia zabia zangu kwenye kioo.
ni kweli pia, mie ni mwepesi kusaidia watu. pamoja na ukali wangu lakin nimejigundua nina huruma saana.
kuna kipindi nilikuwa...
Osama bin Laden alikuwa na usemi wake, "if you live like ur in the past, future will never find you".
maana yakr usitumir simu wala internet wala technologia yoyote ya mawasiliano. hawatakukamata.
kama huwez basi nenda kaombe msamaha yaishe.
habari wanabodi!
nilimsikia mgombea wa CHADEMA/UKAWA kwa mwaka 2015 akisema kuwa atagombea tena katika chaguzi ya 2020.
lakini pia katika moja ya maelezo ya mwanasheria mmoja wa CHADEMA bwana Peter Kibatala alisema Lissu anafaa/anatosha kugombea Urais.
kiuhalisia kuelekea 2020, siasa inaenda...
mtoa maada uko sawa kabisa. ila kuna kitu kimoja umesahau BASHITE.
swala la bashite linaondoa kabisa kama si kumaliza jitihada za Mheshimiwa na kuonekana ni unafki. maana kama ni rushwa bashite yumo na ushahid umewekwa. kama ni madili nae yumo na ushahid umewekwa, sasa sielew mkuu...
kwa jinsi nionavyo mimi, Rais anamuhitaj saana Lowasa ili ashinde term ya pili. kama upinzan ukatokea kumbadilisha huyu basi tutakuwa na Rais wa kwanza kutawala term moja toka enzi za uchaguz wa vyama vingi kuanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.