Mpumbavu siyo tusi..nadhani ndugu yangu upo mbali sana na lugha ya kiswahili....ni kielezi kinachoonyesha aina ya mtu jinsi alivyo..ni sawa na mlevi..,mwizi...,mzinzi..,yote hayo si matusi.Labda ulazimishe wewe kuona matusi au labda iwe hivyo kwa kiswahili cha kirundi na kamwe si cha kitanzania.