CCM Kumtumia Tambwe Hiza Kama Muwakilishi: Ni Kudharau Mchakato wa Katiba?

Hapa mpaka tuchapane kwanza ndio heshima itakuwepo, hii ngonjera ya amani na utulivu ndio inasababisha wanaume wenye mimba kama Tambwe Hiza badala ya kwenda kujifunguwa anakuja kuleta porojo, i wanna kill light now.

back to you punk,sorry but i gotta tell you,you are a lunatic who spread HATE,LIES AND MISINFORMATION ,you are disgrace to jf they oughta put you where the sun doesnt shine.
You disgusting man .sorry but its is the truth
 
:disapointed:ccm walimtuma Tambwe Hiza kama kuzuga tu maana wanajua wanachotaka kukifanya katika katiba, hivyo hawakuwa na sababu ya kumtuma mtu makini.
 
back to you punk,sorry but i gotta tell you,you are a lunatic who spread HATE,LIES AND MISINFORMATION ,you are disgrace to jf they oughta put you where the sun doesnt shine.
You disgusting man .sorry but its is the truth


Posted via Mobile
 
Ili tupate katiba nzuri yenye kukidhi matakwa ya watanzania walio wengi lazima tuwe tayari kutwangana maana ccm wanataka kutuburuza watuandikie katiba yenye kukidhi matakwa yao. Wapuuzi kweli hawa.
 
Kwa ujinga na uhuni unaonyeshwa na wanaojiita Wanavyuo sahauni kama kuna majadiliano tena Maana nyie wahuni mliaambiwa kuwa hilo ni kongamano! Kwanini kwanza mlazimishe kuingia kwenye ukumbi wenye kuchukuwa watu mia tatu mnataka kuingia 1000! Shame on you guys, itakula kwenu na wahadhiri wenu wanaowapandikiza mbegu ya chuki hivi leo serikali ivifungilie mbali hivyo vyuo mtasomea wapi CCBRT au Mbowe Club Billcanas? Kuwe wastaarabu nyie Chokora watu wajadili hili la katiba Kama kutawaliwa mtatawaliwa tu hilo halina ubishi sasa kama mnaweza njo tena Karimjee na ushamba wenu wa kutoka mikoani mlete za kujuwa au huko Dodoma safari hii hamtasahau hiyo Kubwa mtakayopewa mnatukera na uchochezi wenu wa kupandikizwa
 
Kwa ujinga na uhuni unaonyeshwa na wanaojiita Wanavyuo sahauni kama kuna majadiliano tena Maana nyie wahuni mliaambiwa kuwa hilo ni kongamano! Kwanini kwanza mlazimishe kuingia kwenye ukumbi wenye kuchukuwa watu mia tatu mnataka kuingia 1000! Shame on you guys, itakula kwenu na wahadhiri wenu wanaowapandikiza mbegu ya chuki hivi leo serikali ivifungilie mbali hivyo vyuo mtasomea wapi CCBRT au Mbowe Club Billcanas? Kuwe wastaarabu nyie Chokora watu wajadili hili la katiba Kama kutawaliwa mtatawaliwa tu hilo halina ubishi sasa kama mnaweza njo tena Karimjee na ushamba wenu wa kutoka mikoani mlete za kujuwa au huko Dodoma safari hii hamtasahau hiyo Kubwa mtakayopewa mnatukera na uchochezi wenu wa kupandikizwa

wewe ni nani hata utoe povu lote hilo?
 
Unayajua hayu mawazo aliyoyasema Tambwe au unakurupuka tu? Hebu edit hizo red items ili tuelewe wewe ndio sio KILAZA

Mkuu naomba unijuze huyo jamaa (TAMBWE HIZZA) alitoa mawazo gani? manake namfahamu huyo jamaa alikuwa mropokaji sana alivyokuwa CUF aliwahi kusema yeye hawezi kushindwa na Mvuja Damu lakini hatima yake yule mama mama Khadija Kusaga akamwangusha..
 
Kwa ujinga na uhuni unaonyeshwa na wanaojiita Wanavyuo sahauni kama kuna majadiliano tena Maana nyie wahuni mliaambiwa kuwa hilo ni kongamano! Kwanini kwanza mlazimishe kuingia kwenye ukumbi wenye kuchukuwa watu mia tatu mnataka kuingia 1000! Shame on you guys, itakula kwenu na wahadhiri wenu wanaowapandikiza mbegu ya chuki hivi leo serikali ivifungilie mbali hivyo vyuo mtasomea wapi CCBRT au Mbowe Club Billcanas? Kuwe wastaarabu nyie Chokora watu wajadili hili la katiba Kama kutawaliwa mtatawaliwa tu hilo halina ubishi sasa kama mnaweza njo tena Karimjee na ushamba wenu wa kutoka mikoani mlete za kujuwa au huko Dodoma safari hii hamtasahau hiyo Kubwa mtakayopewa mnatukera na uchochezi wenu wa kupandikizwa
Usihamishie uzemmbe wa BUnge na serikali kwa kukosa maono ya kuandaa eneo linastahili kwa ajili ya kukusanya maoni kwa wanafunzi na wahadhiri ambao ni watanzania wanahitaji kutoa maoni yao kama katiba inavyosema,kwamba kila mtu anauhuru wakutoa mawazo ili mradi havunji sheria,walio vunja sheria ni serikali haikuandaa mazingira stahiki.
Enzi hizi hakuna mtanzania yeyot atakaye kubali kukandamizwa na vyombo vya dola tafakari kwanza
 
Kwa ujinga na uhuni unaonyeshwa na wanaojiita Wanavyuo sahauni kama kuna majadiliano tena Maana nyie wahuni mliaambiwa kuwa hilo ni kongamano! Kwanini kwanza mlazimishe kuingia kwenye ukumbi wenye kuchukuwa watu mia tatu mnataka kuingia 1000! Shame on you guys, itakula kwenu na wahadhiri wenu wanaowapandikiza mbegu ya chuki hivi leo serikali ivifungilie mbali hivyo vyuo mtasomea wapi CCBRT au Mbowe Club Billcanas? Kuwe wastaarabu nyie Chokora watu wajadili hili la katiba Kama kutawaliwa mtatawaliwa tu hilo halina ubishi sasa kama mnaweza njo tena Karimjee na ushamba wenu wa kutoka mikoani mlete za kujuwa au huko Dodoma safari hii hamtasahau hiyo Kubwa mtakayopewa mnatukera na uchochezi wenu wa kupandikizwa

Bgup ,you said it.hawa machokoraa wamekua brainwashed and manipulated to the point of nausea.mfano jana kabla hiza hajaongea wanazomea ilikua imepangwa,wanatumika kama robot programmed to creat disturbance.as far as am concern THEY CAN GO TO HELL.
Leo kibao kimegeuka wanapiga kelele SHUTUP
 
nimeshangazwa sana na taarifa za kuahirishwa kwa mkutano wa kukusanya maoni kuhusu muswada wa Katiba mpya pale Karimjee. Kwamba mkutano ule umeahirishwa (ITV news, saa 2 usiku) baada ya mtu asiyekubalika CCM wala upinzani, Tambwe Hiza kuchafua hali ya hewa ukumbini.

Lakini najiuliza: katika wakati ambao taifa linashughulikia suala muhimu kama la Katiba ya nchi, CCM inakosa mtu muhimu kweli wa kumtuma kama muwakilishi hata wamteue mtu kama Tambwe Hiza?

Hivi kweli CCM wako serious? Mtu wa propaganda anaweza vipi kuwa muwakilishi wa chama tawala kwenye ishu sensitive kama Katiba ya nchi? Where is CCM taking us? Ama mimi sielewi maana ya propaganda?

Tuwafanye nini hawa CCM?

Hivi huelewei kweli kwanini serious people hawatumwi na CCM? How can you seriously discuss nonsense you also need to bring yourself into that level to be able to arugue . Kwahiyo naamini kila anayekuwa approached mwenye morals na akili zake hawezi kubali maana hata meet objective ndiyo maana wanapeleka watu ambao wanaweza ongea chochote bila hofu wala aibu for its within their level of thinking. Huoni Warioba alivyoonekana anapingana na the whole concept sasa ukimpeleka mtu kama yeye unategemea nini kwa upande wa chama kilichoamua kukosa objectivity?
 
Kwa ujinga na uhuni unaonyeshwa na wanaojiita Wanavyuo sahauni kama kuna majadiliano tena Maana nyie wahuni mliaambiwa kuwa hilo ni kongamano! Kwanini kwanza mlazimishe kuingia kwenye ukumbi wenye kuchukuwa watu mia tatu mnataka kuingia 1000! Shame on you guys, itakula kwenu na wahadhiri wenu wanaowapandikiza mbegu ya chuki hivi leo serikali ivifungilie mbali hivyo vyuo mtasomea wapi CCBRT au Mbowe Club Billcanas? Kuwe wastaarabu nyie Chokora watu wajadili hili la katiba Kama kutawaliwa mtatawaliwa tu hilo halina ubishi sasa kama mnaweza njo tena Karimjee na ushamba wenu wa kutoka mikoani mlete za kujuwa au huko Dodoma safari hii hamtasahau hiyo Kubwa mtakayopewa mnatukera na uchochezi wenu wa kupandikizwa

Naona ume andaa dictionary yako ya word 'public hearing' kama ndivyo basi luga unayotumia kuongea ni tofauti sana na ya kwetu sisi no wonder kulikua na miss communication jana wakati tumekuja kwa maelfu huku wewe ukiwa umedhamiria watu 300 ambao kwa maneno yako inaonekana munawafahamu ndiyo maana muliweza kuwaandalia sehemu ya kuwatosha!
 
Kila mtu ana haki ya kutoa maoni ni aibu kwa wajinga wale wa udsm pale karim jey kutokumpa nafasi tambwe ya kuongea. Ni ujinga mkubwa wa hawa vilaza wa udsm. Kwa vile wengine ninao pamoja nitajaribu kuwaelimisha kua hata tambwe anahaki ya kutoa maoni si dr slaa tu.

Akiongea lipumba wekeni fujo basi muone tutakavo watafuna kama keki. Kudadeki ccm inawalea sio sisi hatutowaacha wehu wakingia ktk anga zetu.
Mimba changa zina babisha matatizo kama hayo....Warioba aliongea na watu wakampigia makofi yeye ni chama gani?
 
Alitumwa kwa sababu ndio mtu pekee mwenye uwezo wa kujenga hoja na ujasiri,uwezo,akili na utashi wa kuisemea CCM kwa wakati huu , ndio maana alitumwa .
 
Kwa ujinga na uhuni unaonyeshwa na wanaojiita Wanavyuo sahauni kama kuna majadiliano tena Maana nyie wahuni mliaambiwa kuwa hilo ni kongamano! Kwanini kwanza mlazimishe kuingia kwenye ukumbi wenye kuchukuwa watu mia tatu mnataka kuingia 1000! Shame on you guys, itakula kwenu na wahadhiri wenu wanaowapandikiza mbegu ya chuki hivi leo serikali ivifungilie mbali hivyo vyuo mtasomea wapi CCBRT au Mbowe Club Billcanas? Kuwe wastaarabu nyie Chokora watu wajadili hili la katiba Kama kutawaliwa mtatawaliwa tu hilo halina ubishi sasa kama mnaweza njo tena Karimjee na ushamba wenu wa kutoka mikoani mlete za kujuwa au huko Dodoma safari hii hamtasahau hiyo Kubwa mtakayopewa mnatukera na uchochezi wenu wa kupandikizwa
Chokora ni binadamu kama binadamu wengine tofauti yao na wewe ni kwamba wewe una mimba ya jasho lao, Tutaendelea kuwa kera mpaka mambo ya msingi myatekeleze na siyo kutuburuza ms wewe, kama ni matisho peleka kwa waume siyo watanzania...UDSM, UDOM siyomali za CCM hivyo ni pumbavu kulinganisha na billcana..Wanaotoka mikoani siyo watanzania...mnatutawala ndiyo lakini kijasho kina watoka...
 
Hao waliomzomea Tabwe si wavumilivu wa kisiasa, nani aliwaambia siasa ni kusikiliza unakokubaliana nako tu ? hao hawana tofauti na polisi waliorusha mabomu, wale wametumia mabomu ya moshi na hawa wametumia mabomu ya maneno.

Siasa lazima uwe mvumilivu. Mwelevu humsikiliza mpumbafu jinsi anavyowaza na kutambua njia sahihi ya kudeal naye. Tanzania hakuna tofauti ya mienendo kwa vyama ktk sera, mtazamo na mwelekeo, tafauti yao ni kwasababu mmoja na bunduki na mwingine hana.Lakini wanaotumia silaha ya mdomo kunyamazisha mpinzani wakiwa na bunduki watazitumia kumnyamazisha zaidi.

Una pointi njema hapo mzee lakini inapotokea kuwa watu hawa tumewasikiliza kwa miaka 50 na hakuna jipya, uvumilivu unakuwa mdogo na hasa hasa tunapokutana kwenye makongamano kama haya na wakaendelea kuimba nyimbo zile zile ambazo wamekuwa wakituimbia kwa dahari ya miaka!

 
Hivi tuhahitaji ushabiki kwenye siasa au facts?
Baadhi yetu aidha hatutaki kuelewa au tunajaribu kuharibu moody ya wachangiaji. Kumshambulia member mwenzio akaswaki au bla bla zingine nazo ni Utambwe tu. Kuwaita Lectures waliokufundisha vilaza basi na ww ni kilaza tu. Hata kama umesoma nje ya nchi lecture hao ndo walimfundhisha baba ako na mkulu wetu. C'mon pipo.
 
Back
Top Bottom