Kamanda ni kweli unayosema, mfano kama mimi kwa kweli nimepigika na nataka kwelikweli kazi lakini hapo nilikwama. Tegeta - Ubungo 500, ubungo - mbagala 500, Mbagala - kisemvule 800 jumla 1800x2 =3200Chai 600 na Mchana 1000 jumla 1600+3200=4800 Possibly saving 2200x30=66,000 sijalipa nyumba...