Nafasi za kazi kiwandani

Nafasi za kazi kiwandani

Nimeshamueleza swala hilo la email haziendi kasema wanazishughurikia na anasema email ya pili ambayo ni tony-chen@qq.com zinaenda, lakini sijajalibu. Pia hezo nafasi za technician 20 ni kwa mtu wowote aliyesoma fani yoyote ya techician wanamuhitaji watamfundisha kutumia mitambo yao na mashine zao cha msingi kwamba awe ameshapitia mambo ya techician yoyote. Mwisho nasema mtu kama anaona utapeli asiende wala asitume cv. Mie sitajibu tena sms silipwi na hiyo kampuni. Nilileta uzi hapa basi mtu anayetaka afatilie mwenyewe.
They are not serous at all,,,naamin we ni graduate,,japo una shida utajickiaje ukafka kule pwani na ukalipwa 5000 pa day,,cmkatishi mtu tamaa ila that iz a real situation,,,,pia mm nna shida ya kazi balaa kila siku nazunguka town ila kule nmeshindwaaa....
Wanakera sana,,,komand za kijinga na wachina wao ,,,,vijana tusikubali kutumika hovyo,,we have our proffesionals,,lazma tuheshimiwe!..hatuwezi kuwa bei rahisi hivi,,,hata km tuna shida!..nliona bora nirud kitaa niuze hat maji!...
 
Nashukuru kwa walioenda hadi kiwandani kujionea wenyewe hali halisi, Ibravo na Larusai nawapongeza sana kwa kutoa ushuhuda wenu muliouona kiwandani. Mimi nilioleta uzi huu nimechukizwa sana na wana jf kwa kunita tapel baadhi yao Lusungo, Mtz Huru na Matendo Andre nataka mnambie utapeli wangu nilimfanyia nani? Nyie mnaropoka bila ushahidi wowote. Pia ni kweli viwandani wabongo tunateseka sana kazi ngumu na mshahara mbuzi. Jukumu la serikari yetu kwenda kubadili mifumo hiyo kama si hivyo wageni watatumaliza kwa kutunyonya. Halmashauri zinafaham fika kuhusu hivyo viwanda na kodi wanakusanya lakini wapo kimya kwa njaa zao na wametulizwa na rushwa.
 
Jamani tunapoelekea hawa wawekezaji watatunyonya mpaka basi. Na mimi nimefika kiwandani hapo kisemvule, mazingira tu yalitosha kunifanya nione nimepoteza nauli yangu pia vibarua niliowakuta walisema kabisa hapa kila siku watu wanakuja ila wanashindwa kutokana na maslai. Muda kuonana na Manager unafika pia anakuwa wazi kwa kusema, "hapa kiwandani kazi zipo isipokua graduate wengi wanashinda kwa kuwa posho zetu ni kidogo sana. anaeleza kua wanaviwango vya 3500, 5000, 7000 na 10000 kwa siku ila utalipwa kwa wiki kila jmosi. Kulingana na elimu yangu (shahada) nitalipwa 7000, nadadisi kidogo kujua je kuhusu chakula na malazi? naambiwa kua hivyo unajitegemea ila kuna ruzuku ya 500 kwa chakula cha mchana. Ananitoa wasi wasi kwa kusema kiwanda ni kipya ila mwakani mwanzoni kitakua kimekomaa na kuwapa mikataba minono wale waliovumilia hadi muda huo, kidogo napata moyo ila nauliza tutafanya kazi kwa masaa mangapi? Anajibu ni masaa 12 kuanzia saa 2as had 2us, nimemuomba anipe muda nifikirie ukizingatia nakaa tegeta dah!
 
Jamani tunapoelekea hawa wawekezaji watatunyonya mpaka basi. Na mimi nimefika kiwandani hapo kisemvule, mazingira tu yalitosha kunifanya nione nimepoteza nauli yangu pia vibarua niliowakuta walisema kabisa hapa kila siku watu wanakuja ila wanashindwa kutokana na maslai. Muda kuonana na Manager unafika pia anakuwa wazi kwa kusema, "hapa kiwandani kazi zipo isipokua graduate wengi wanashinda kwa kuwa posho zetu ni kidogo sana. anaeleza kua wanaviwango vya 3500, 5000, 7000 na 10000 kwa siku ila utalipwa kwa wiki kila jmosi. Kulingana na elimu yangu (shahada) nitalipwa 7000, nadadisi kidogo kujua je kuhusu chakula na malazi? naambiwa kua hivyo unajitegemea ila kuna ruzuku ya 500 kwa chakula cha mchana. Ananitoa wasi wasi kwa kusema kiwanda ni kipya ila mwakani mwanzoni kitakua kimekomaa na kuwapa mikataba minono wale waliovumilia hadi muda huo, kidogo napata moyo ila nauliza tutafanya kazi kwa masaa mangapi? Anajibu ni masaa 12 kuanzia saa 2as had 2us, nimemuomba anipe muda nifikirie ukizingatia nakaa tegeta dah!
pole sana kamanda,,kumbuka 7000 ya kawaida ni masaa 5 had 8 ,,wao wanataka masaa 12,utoke ucku na kule ni porini,,wakifanya kaz nusu cku ujue utapewa 3500,,wakat huo ushaatumia 4000 as expences pa day,,,je hiyo kaz ni ya kanisa?,,,,ni changamoto hizi,,,,hii katiba mpya hii!...tuangalie maisha yetu na sio serikali ngap makamanda
 
pole sana kamanda,,kumbuka 7000 ya kawaida ni masaa 5 had 8 ,,wao wanataka masaa 12,utoke ucku na kule ni porini,,wakifanya kaz nusu cku ujue utapewa 3500,,wakat huo ushaatumia 4000 as expences pa day,,,je hiyo kaz ni ya kanisa?,,,,ni changamoto hizi,,,,hii katiba mpya hii!...tuangalie maisha yetu na sio serikali ngap makamanda
Kamanda ni kweli unayosema, mfano kama mimi kwa kweli nimepigika na nataka kwelikweli kazi lakini hapo nilikwama. Tegeta - Ubungo 500, ubungo - mbagala 500, Mbagala - kisemvule 800 jumla 1800x2 =3200Chai 600 na Mchana 1000 jumla 1600+3200=4800 Possibly saving 2200x30=66,000 sijalipa nyumba, kodi yameza sijaacha, bado sijalipia umeme.kwa kipindi hichi kabla sijapata kuhamia huko ninatatakiwa kusafiri kwa si chini ya masaa matatu njiani kwenda na kurudi masaa 3 hivyo ili niwai itanibidi niamke labda saa 4.30alfajiri na nitafika home kama saa 5.30 usiku. Hapo nikashindwa kwa kweli, ukizingatia unaambiwa kuwa siku za kazi ni siku zote 7 za wiki hivyo hakuna miundo mbinu mipya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom