Recent content by Mayuka

  1. M

    Mwanamke/mwanaume kufika Kileleni, vizuizi ni hivi...

    Jaribu ****** utaona atakavyofika na hatakuucha hata siku moja.
  2. M

    Kwanini Kikwete huyakimbia matukio?

    Waliomchagua Kikwete na CCM yao wametukomesha kwa kweli,Mungu awasamehe tu,walikuwa hawajui walitendalo.
  3. M

    Hakika sasa nimeamini alichosema Dr. Slaa kuhusu Kikwete

    Waliomchagua Kikwete kweli wametukomesha watanzania,na wapongeza kwa huo ujinga walioufanya ju yetu watanzania.Mungu awasamehe.
  4. M

    Slaa: Kikwete akipuuza nchi haitatawalika

    Nawahamasisisha vijana wenzangu tupinge dhuruma na unyanyasaji unaofanywa na serikali legelege na dhaifu ya kijambazi ya CCM.
  5. M

    "CUF" je hili la udini,bado mnabisha?

    Hawa CCM B,kwisha habari yao,wamebaki matepeli tu ndani ya CCM B.
  6. M

    Msafara wa Makamu wa Rais Mbeya....

    Mbeya CCM haitakiwi kabisa,Mbeya nchi,Sugu rais.
  7. M

    Bavicha hiyooooooooo

    Safi sana vijana mapambano muda wote! Viva Chadema.
  8. M

    TANZIA: Diwani kata ya Lwezera afariki Dunia

    Tume itangaze tar ya uchaguzi ili tukaing'oe CCM kwenye hicho kiti.
  9. M

    Chadema Live kutoka Kimara Bonyokwa

    Mapambano Daima,CCM kwisha habari,huku Iringa Mchungaji Msigwa anapiga mkutano wa 5 bado mikutano 12 ili itimie 17 ambayo imepangwa ifanyike,huko Tanga nako makamanda kina Zitto wamepinga mikutano ya kufa mtu! Viva Chadema.
  10. M

    Hakuna wa kumtoa huyu mbunge

    Kawapa uchawi mana huyu mweshimiwa ni mchawi mbaya.
  11. M

    Kamanda Lema ndani ya Arumeru

    Kamanda Lema lazima aikomboe Arumeru,mwisho wa Mafisadi CCM umetimia.
  12. M

    Mary Chitanda ahofia mpasuko Arumeru Mashariki

    Chama cha majambazi CCM mwisho wao umefika,wanafanya dhuruma kila mahari.
  13. M

    Vijana wa CHADEMA Tunduma wamechachamaa

    Serikali legelege ya CCM na dhaifu inamatatizo sana,kazi wanayoweza ni ujambazi 2.
  14. M

    ARUMERU: Kutokana na mambo kuwa magumu Green Guard waanza mazoezi

    Huko hakuna Bakwata ambao huwa wanawatumiwa na CCM kuwahadaa waislam na kuonyesha kuwa CCM ni chama cha waislam na kinawapenda waislam,wakati waislam wamezudhurumiwa na CCM mali zao nyingi na kuwawekea chombo cha ulaghai cha kikafili Bakwata ili kiwahadae waislam ili washindwe kudai haki zao za...
  15. M

    Chadema, CCM yametimia

    Kibaraka mkubwa wewe wa chama cha majambazi CCM,unaandika vitu ambavyo havina kichwa wala miguu,Haya nenda sasa ukachukue posho kwenye ofisi za CCM.
Back
Top Bottom