commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Kwanza mlisema ni propaganda za kisiasa,lakini tukashuhudia mzee James mapalala akiondolewa,hatimae akafuatia Wilfred Rwakatare.
Tumeshuhudia mara kadhaa kwenye kampeni zenu majukwaani jinsi zinavyoghubikwa na mavazi mbalimbali ya kiislamu ,asilimia 85% ya wahudhuriaji.Lakini pia hata mfumo mzima wa burudani zinazoandamana na kampeni mara zoote ni mashairi yenye mithili ya mhadhara wa mahubiri.
Sasa "top" ni kauli ya Mheshimiwa Jussa Ladu hivi karibuni akiongelea sababu za CUF kubwagwa na CDM katika uchaguzi mdogo kule uzini zanzibar,aliponukuliwa na vyombo vya habari kwamba mojawapo ya sababu ni uwepo wa Wakristo wengi katika jimbo hilo.Pamoja na wingi wa watanzania kutoka bara, katika eneo husika.
Kama hiyo haitoshi CUF imejitoa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mdogo katika jimbo la arumeru mashariki baada ya kufanya tafakuri na kuona kwamba haina uungwaji mkono wa kutosha jimboni humo (ambako kwa 95% ni wakristo).CUF haikusema kama hiyo ndio sababu rasmi.
Je kwa hayo machache CUF mna ubishi kuhusu suala la udini?
Tumeshuhudia mara kadhaa kwenye kampeni zenu majukwaani jinsi zinavyoghubikwa na mavazi mbalimbali ya kiislamu ,asilimia 85% ya wahudhuriaji.Lakini pia hata mfumo mzima wa burudani zinazoandamana na kampeni mara zoote ni mashairi yenye mithili ya mhadhara wa mahubiri.
Sasa "top" ni kauli ya Mheshimiwa Jussa Ladu hivi karibuni akiongelea sababu za CUF kubwagwa na CDM katika uchaguzi mdogo kule uzini zanzibar,aliponukuliwa na vyombo vya habari kwamba mojawapo ya sababu ni uwepo wa Wakristo wengi katika jimbo hilo.Pamoja na wingi wa watanzania kutoka bara, katika eneo husika.
Kama hiyo haitoshi CUF imejitoa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mdogo katika jimbo la arumeru mashariki baada ya kufanya tafakuri na kuona kwamba haina uungwaji mkono wa kutosha jimboni humo (ambako kwa 95% ni wakristo).CUF haikusema kama hiyo ndio sababu rasmi.
Je kwa hayo machache CUF mna ubishi kuhusu suala la udini?