"CUF" je hili la udini,bado mnabisha?

Status
Not open for further replies.

commonmwananchi

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
3,377
1,952
Kwanza mlisema ni propaganda za kisiasa,lakini tukashuhudia mzee James mapalala akiondolewa,hatimae akafuatia Wilfred Rwakatare.

Tumeshuhudia mara kadhaa kwenye kampeni zenu majukwaani jinsi zinavyoghubikwa na mavazi mbalimbali ya kiislamu ,asilimia 85% ya wahudhuriaji.Lakini pia hata mfumo mzima wa burudani zinazoandamana na kampeni mara zoote ni mashairi yenye mithili ya mhadhara wa mahubiri.

Sasa "top" ni kauli ya Mheshimiwa Jussa Ladu hivi karibuni akiongelea sababu za CUF kubwagwa na CDM katika uchaguzi mdogo kule uzini zanzibar,aliponukuliwa na vyombo vya habari kwamba mojawapo ya sababu ni uwepo wa Wakristo wengi katika jimbo hilo.Pamoja na wingi wa watanzania kutoka bara, katika eneo husika.

Kama hiyo haitoshi CUF imejitoa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mdogo katika jimbo la arumeru mashariki baada ya kufanya tafakuri na kuona kwamba haina uungwaji mkono wa kutosha jimboni humo (ambako kwa 95% ni wakristo).CUF haikusema kama hiyo ndio sababu rasmi.
Je kwa hayo machache CUF mna ubishi kuhusu suala la udini?
 
Kwanza mlisema ni propaganda za kisiasa,lakini tukashuhudia mzee James mapalala akiondolewa,hatimae akafuatia Wilfred Rwakatare.

Tumeshuhudia mara kadhaa kwenye kampeni zenu majukwaani jinsi zinavyoghubikwa na mavazi mbalimbali ya kiislamu ,asilimia 85% ya wahudhuriaji.Lakini pia hata mfumo mzima wa burudani zinazoandamana na kampeni mara zoote ni mashairi yenye mithili ya mhadhara wa mahubiri.

Sasa "top" ni kauli ya Mheshimiwa Jussa Ladu hivi karibuni akiongelea sababu za CUF kubwagwa na CDM katika uchaguzi mdogo kule uzini zanzibar,aliponukuliwa na vyombo vya habari kwamba mojawapo ya sababu ni uwepo wa Wakristo wengi katika jimbo hilo.Pamoja na wingi wa watanzania kutoka bara, katika eneo husika.

Kama hiyo haitoshi CUF imejitoa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mdogo katika jimbo la arumeru mashariki baada ya kufanya tafakuri na kuona kwamba haina uungwaji mkono wa kutosha jimboni humo (ambako kwa 95% ni wakristo).CUF haikusema kama hiyo ndio sababu rasmi.
Je kwa hayo machache CUF mna ubishi kuhusu suala la udini?


Hapo kwenye RED ndo kwenye utata! kwa sensa ipi ndugu ! kwa mtazamo wangu mimi naona CUF wanefanya maamuzi yenye busara sana, kwa nini upoteze mamilioni ya pesa wakati unajua uwezekano wa kushinda ni mdogo?
 
Hapo kwenye RED ndo kwenye utata! kwa sensa ipi ndugu ! kwa mtazamo wangu mimi naona CUF wanefanya maamuzi yenye busara sana, kwa nini upoteze mamilioni ya pesa wakati unajua uwezekano wa kushinda ni mdogo?

Kakauona!, hapo kwenye "RED" nimetumia historia ya jimbo lenyewe pamoja na majina ya wagombea toka vyama vyoote waliochukua fomu kutaka nafasi hiyo ya uwaskilishi mpaka sasa.
Je CUF kwa nini hawatowi kauli rasmi ya chama gani watakiunga mkono?
 
Rev ! Nakushukuru kwa mchango wako,mimi nilidhani niko peke yangu mwenye kuwaona wenzetu hawa kwa mtazamo huo,hivyo nikapenda kuyaweka hadharani ili niweze kupata maoni yenu wadau.kwa sabnabu kuna wakati ilikuwa kama ukiwaambia ukweli huu wanakuchapa bakora!
 
Kwanza mlisema ni propaganda za kisiasa,lakini tukashuhudia mzee James mapalala akiondolewa,hatimae akafuatia Wilfred Rwakatare.

Tumeshuhudia mara kadhaa kwenye kampeni zenu majukwaani jinsi zinavyoghubikwa na mavazi mbalimbali ya kiislamu ,asilimia 85% ya wahudhuriaji.Lakini pia hata mfumo mzima wa burudani zinazoandamana na kampeni mara zoote ni mashairi yenye mithili ya mhadhara wa mahubiri.

Sasa "top" ni kauli ya Mheshimiwa Jussa Ladu hivi karibuni akiongelea sababu za CUF kubwagwa na CDM katika uchaguzi mdogo kule uzini zanzibar,aliponukuliwa na vyombo vya habari kwamba mojawapo ya sababu ni uwepo wa Wakristo wengi katika jimbo hilo.Pamoja na wingi wa watanzania kutoka bara, katika eneo husika.

Kama hiyo haitoshi CUF imejitoa kwa mara ya kwanza katika uchaguzi mdogo katika jimbo la arumeru mashariki baada ya kufanya tafakuri na kuona kwamba haina uungwaji mkono wa kutosha jimboni humo (ambako kwa 95% ni wakristo).CUF haikusema kama hiyo ndio sababu rasmi.
Je kwa hayo machache CUF mna ubishi kuhusu suala la udini?

Very good observation, lakini wadau naomba analysis hizi zifanyike kwenye vyama vyoote, na wa kina ufanyike CDM angalieni link yake na kanisaa! Lets be free minded
 
@commonmwananchi, samahani ndugu unapotosha ukumbi. Uliyoandika hayana ukweli. Toa "exhibit" ya kutosha kwani vyenginevo ujieleze kwa kina ulilokusudia.
 
Kakauona!, hapo kwenye "RED" nimetumia historia ya jimbo lenyewe pamoja na majina ya wagombea toka vyama vyoote waliochukua fomu kutaka nafasi hiyo ya uwaskilishi mpaka sasa.
Je CUF kwa nini hawatowi kauli rasmi ya chama gani watakiunga mkono?

Mkuu wakristo ni zaidi ya 99.9 kule Meru. Hata hivyo isingekuwa kigezo cha kutomsimamisha mgombea, kwani nawakumbuka pamoja na jimbo la Hanang kuwa na wakristo wengi, CUF waliwahi kumsimamisha mgombea kutoka Tabora, ambaye alikuwa Shekhe. Lazima kuna secret reason behind the decision
 
Mkuu wakristo ni zaidi ya 99.9 kule Meru. Hata hivyo isingekuwa kigezo cha kutomsimamisha mgombea, kwani nawakumbuka pamoja na jimbo la Hanang kuwa na wakristo wengi, CUF waliwahi kumsimamisha mgombea kutoka Tabora, ambaye alikuwa Shekhe. Lazima kuna secret reason behind the decision

Haloooooooo.Alisimamishwa nani eti? Sheikh!!!!!!!!
 
Sometimes najiuliza sana uhusiano wa dini na siasa, na ni nani wa kumsaidia mwenzie?
 
kwa hiyo kuwa na mgombea sheikh ni kashfa au kosa? mbona chadema ina mbunge ambaye ni mchungaji na hata ccm vilevile wanao wabunge wachungaji.Katibu mkuu wa cdm na mgombea urais aliyeshindwa uchaguzi 2010 pi alikuwa padri,mbona hamsemi,au ndo mfumo kristo.kama utaihusisha cuf na uislam usisahau kuwa hata cdm ni ya wakristo
Mkuu wakristo ni zaidi ya 99.9 kule Meru. Hata hivyo isingekuwa kigezo cha kutomsimamisha mgombea, kwani nawakumbuka pamoja na jimbo la Hanang kuwa na wakristo wengi, CUF waliwahi kumsimamisha mgombea kutoka Tabora, ambaye alikuwa Shekhe. Lazima kuna secret reason behind the decision
 
Mkuu wakristo ni zaidi ya 99.9 kule Meru. Hata hivyo isingekuwa kigezo cha kutomsimamisha mgombea, kwani nawakumbuka pamoja na jimbo la Hanang kuwa na wakristo wengi, CUF waliwahi kumsimamisha mgombea kutoka Tabora, ambaye alikuwa Shekhe. Lazima kuna secret reason behind the decision

Ndio cdm wanagombea kwasababu wakristo ni wengi ok...tumeelewa
 
@commonmwananchi, samahani ndugu unapotosha ukumbi. Uliyoandika hayana ukweli. Toa "exhibit" ya kutosha kwani vyenginevo ujieleze kwa kina ulilokusudia.

Ahsante mkuu Falconer!,kwa hali halisi ya CUF na matukio ya hivi karibuni, haihitaji ushahidi mkubwa kuthibitisha niliyoyasema na ndioo maana nikamnukuu Mheshimiwa Jusa (mb).kwa kauli aliyoitoa.

Isitoshe kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa za vyama vingi nchini, ebu vuta kumbukumbu ya mwenendo wa kampeni za urais 2010. Nafikiri unakumbuka Prof Lipumba alijikita zaidi maeneo yaliyo na waislamu wengi akianzia Dar es salaam, Mtwara,Tanga,singida na hatimae Tabora na kigoma.

Naomba unitajie jina la mbunge wa CUF hata mmoja ambaye ni muumini wa dini tofauti na islam?
 
Ahsante mkuu Falconer!,kwa hali halisi ya CUF na matukio ya hivi karibuni, haihitaji ushahidi mkubwa kuthibitisha niliyoyasema na ndioo maana nikamnukuu Mheshimiwa Jusa (mb).kwa kauli aliyoitoa.

Isitoshe kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa za vyama vingi nchini, ebu vuta kumbukumbu ya mwenendo wa kampeni za urais 2010. Nafikiri unakumbuka Prof Lipumba alijikita zaidi maeneo yaliyo na waislamu wengi akianzia Dar es salaam, Mtwara,Tanga,singida na hatimae Tabora na kigoma.

Naomba unitajie jina la mbunge wa CUF hata mmoja ambaye ni muumini wa dini tofauti na islam?

Magdalena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom