Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
nadhani atahakikisha na Sonmgea anakwenda kwenye shughuli za mazishi ya waliouawa kwenye maandamanoJaman watu wa pwani daima wanapenda kwenda kwenye "shughuli" na "sherehe"
nadhani atahakikisha na Sonmgea anakwenda kwenye shughuli za mazishi ya waliouawa kwenye maandamanoJaman watu wa pwani daima wanapenda kwenda kwenye "shughuli" na "sherehe"
Hapa ni kumuachia Mungu yote....
Wakuu,
Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2010 nilipata kuisikia kauli maarufu ya Dr. Slaa kuhusu madhara ambayo nchi hii ingepata endapo kikwete angechaguliwa mara nyingine tena. Dr. Slaa alisema kwamba kumchagua kikwete na ccm yake ni kukaribisha janga la kitaifa na wananchi watakuja kujutia uamuzi wao.
Leo hii, ikiwa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa, wananchi katika kila kona ya nchi wanalalamika ugumu wa maisha. Maisha yamekuwa magumu na kadri siku zinavyokwenda ndivyo bei za bidhaa zinavyozidi kupaa. Wakati hali ikiwa hivyo kwa wananchi, kikwete anaendelea na utekelezaji na nadhiri aliyojiwekea ya kuvunja na kuweka rekodi ya kuwa rais wa kwanza Duniani kutembelea nchi nyingi kama si zote ndani ya kipindi cha miaka kumi tu ya uongozi. Juzi tu baada ya kutoka Switzland alikotoa kauli ya kusisitiza umuhimu wa misaada, alirudi nchini na baadaye kidogo aliekea Uingereza. Hivi ninavyopost thread hii, yupo Botswana eti kwenye sherehe ya chama tawala. Akiwa kwenye safari hizo, tumeshuhudia wagonjwa wakifa kwa kukosa matibabu kutokana na mgomo wa madaktari, wananchi Songea wanauawa na polisi na karaha mbalimbali lakini yeye kwa raha zake anaendelea na safari na matanuzi yake.
Kwa mwenendo huu, sina budi kuamini kuwa kikwete ni janga la kitaifa.
inabidi waliompigia kura wote wanyongwe
Nyie mlioko huko Tanzania hamjui anachokifanya KIKWETE simsifii sana lakini ukiangalia nchi yetu kabla ya mwaka 2006, kuna baadhi ya mataifa yalikuwa hayaijui TZ, na hata fursa za uwekezaji (sio kuuza mashirika awamu ya 3) umeongezeka kipindi hiki cha JK 2, tujaribu kuelewa kuwa maisha ni Magumu hata hapa MAREKANI hili sio TZ peke yake, jaribu ku analyse issue vizuri,Nyanja nyingi zimebadilika leo Tanzania,
msiweke itikadi za chuki na vyama.
Ni mawazo yako tu...kila mtu amemchagua Kikwete pamoja na wewe pia! Kikwete ni Chaguo la Mungu ~ mapadre, maaskofu, wachungaji!!!
Mambo yanaendaje mkuu. Hawa vijana wa CDM wasumbufu sana!Muone pua mama wa abayance............rejao bana.nilijua hapa lazima uibuke
By Rejao
Nyerere alitoa hicho kisingizio kutokana na udini. Kwa wakati ule alitaka Mkatoliki mwenzake aongoze nchi, ikabidi atumie udikteta kumweka Mkapa.
Kikwete katufanyia mengi mazuri sana. Mkuu wetu halali, anaihangaikia nchi, anasafiri huku na kule kututafutia sisi wananchi maisha bora. Baba mwenye nyumba siku zote ni mwangaikaji, hawezi kukaa tu nyumbani! Lazima akatafute!!
Tuje kwa wananchi hivi wale wanaume huwa wanapenda kukaa kwenye vijiwe vya kahawa na kupanga vikosi vya Madrid, man u, arsenal na stars siwatofautishi na huyo walio mchagua
Nyerere alitoa hicho kisingizio kutokana na udini. Kwa wakati ule alitaka Mkatoliki mwenzake aongoze nchi, ikabidi atumie udikteta kumweka Mkapa.
Kikwete katufanyia mengi mazuri sana. Mkuu wetu halali, anaihangaikia nchi, anasafiri huku na kule kututafutia sisi wananchi maisha bora. Baba mwenye nyumba siku zote ni mwangaikaji, hawezi kukaa tu nyumbani! Lazima akatafute!!
Rejao sikutegemea hii kutoka kwako.............basi mama.........hata hivyo Mkapa sio Mkatoriki bana. yule KKKT....
kumuachia mungu ni kutomtendea haki mungu wetu hatuna haja ya kumbebesha mzigo mungu tumeyataka wenyewe hayaHapa ni kumuachia Mungu yote....
Kwani hao wanawake hawakuwa watanzania?
Mkubwa, unajua watanzania tunachanganya siasa na hali halisi ya maisha.Heri umemwambia ukweli.
mleta nadhani hujui kabisa kwa nini kikwete anasafiri, upunguani wako wa muono na uhaba wako wa kusafiri unakufanya uone kuwa safari ni matanuzi.
Hivi, wewe unajuwa isingekuwa hizi safari leo ungekuwa katika dhiki mara 10 zaidi?
Hivi haya ma gesi yanayovumbuliwaa kila kukicha, haya matalii yanayozidi kila kukicha, haya mahoteli mpaka imefikia kuwa tanzania ndio imetowa hoteli bora duniani, unafikiri inakuja tu yenyewe? Hata bajeti yetu, ingawa kikwete kapunguzi sana utegemezi wa bajeti kutoka nje, lakini still tunahitaji kujazilia, mpaka hapo mambo yatapokuwa mazuri.
Tafadhali kama hauna cha kusema bora ukae kimya.
Kila siku huwa nasema humu, hebu tuchambuwe mambo muhimu tuone ni rais yupi aliefanya zaidi ya kikwete? Nakuhakikishia huna hata moja.
Si bora kikwete anakwenda kikazi, mkapa alienda kupunguza unene switzerland akaiacha ofisi zaidi mwezi. Kuna hata mmoja alinyanyua sauti aksema kwii.
Nyinyi mnajulikana chuki zenu kwa kikwete ni kwa nini. Lakini kwa utendaji bora na uchapa kazi, nawapa challenge, hakuna aliyemfikia hata robo. Tusiandikie mate na woino upo.
Barabara? Km ngapi kwa awamu zote? Km ngapi kwa kikwete? Amma zimeshajengwa au mikataba imesha sainiwa.
Mtarusha hili kama kawaida yenu.
Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili,Hapo ndipo akili za wabongo zipime na kugundua kuwa walifanya makosa kumchagua kikwete na CCM yake iunde serikali ya nchi hii.Maisha ni magumu kila kona wa2 wanalalamika,hili liwe fundisho kwe2 2sifanye makosa tena 2015 kwani kosa sio kosa bali kurudia kosa ni kosa.
Wakuu,
Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2010 nilipata kuisikia kauli maarufu ya Dr. Slaa kuhusu madhara ambayo nchi hii ingepata endapo kikwete angechaguliwa mara nyingine tena. Dr. Slaa alisema kwamba kumchagua kikwete na ccm yake ni kukaribisha janga la kitaifa na wananchi watakuja kujutia uamuzi wao.
Leo hii, ikiwa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa, wananchi katika kila kona ya nchi wanalalamika ugumu wa maisha. Maisha yamekuwa magumu na kadri siku zinavyokwenda ndivyo bei za bidhaa zinavyozidi kupaa. Wakati hali ikiwa hivyo kwa wananchi, kikwete anaendelea na utekelezaji na nadhiri aliyojiwekea ya kuvunja na kuweka rekodi ya kuwa rais wa kwanza Duniani kutembelea nchi nyingi kama si zote ndani ya kipindi cha miaka kumi tu ya uongozi. Juzi tu baada ya kutoka Switzland alikotoa kauli ya kusisitiza umuhimu wa misaada, alirudi nchini na baadaye kidogo aliekea Uingereza. Hivi ninavyopost thread hii, yupo Botswana eti kwenye sherehe ya chama tawala. Akiwa kwenye safari hizo, tumeshuhudia wagonjwa wakifa kwa kukosa matibabu kutokana na mgomo wa madaktari, wananchi Songea wanauawa na polisi na karaha mbalimbali lakini yeye kwa raha zake anaendelea na safari na matanuzi yake.
Kwa mwenendo huu, sina budi kuamini kuwa kikwete ni janga la kitaifa.