mbezibeach 2
Senior Member
- Jun 28, 2011
- 166
- 50
RIP Mheshimiwa Diwani....Poleni sana wanafamilia,,ndugu,,jamaa,,marafiki na Majirani ktk kipindi hiki kigumu mnachopitia mwenyezi mungu awajaze roho ya uvumilivu, ujasiri na Upendo...AMEN
rip gamba dogo.
Poleni sana wafiwa
Je ndiye huyu aliyekuwa mwenyekiti wa Halmashauri ya Geita? Ambaye aligundua
UFISADI mkubwa katika halmashauri ya Geita na alipotaka kuufuatilia wenzake
(madiwani wa CCM) m.an.g.am.ba wakamvua uenyekiti wa halmashauri?
Kama ndiye yeye alikuwa na element za u-CDM na Geita watakuwa wamepoteza diwani makini.
RIP Anatori Mkufu
una roho mbaya kama sura yakoTume ya uchaguzi itangaze lini uchaguzi kata hiyo
hivi tanzania ina madiwani wangapi kwa ujumla?
Aliyekuwa Diwani wa kata ya Lwezera,Tarafa ya Bugando,wilayani Geita kupitia CCM bwana Anatori Mkufu amefariki Dunia juzi kwa ajali ya gari jijini Mwanza eneo la Mabatini.
RIP Mheshimiwa...
Tangaza wewe au mkeo anaweza kukusaidia kutangaza, kilaza wewe!!Tume ya uchaguzi itangaze lini uchaguzi kata hiyo