Habari gani wana jf?Naomba kusaidiwa nyumba ambayo nimepanga huwa umeme unaisha mapema sana tena unakaa wk 1 kwa umeme wa laki naa,je hii inaweza kusababishwa na history maana nasikia mwenye nyumba alikua anaiba umeme zamani.Na je nifanyeje kupata umeme wangu tofauti na wenzangu?naomba msaada...
Kuna gas mpya ya oil com ni gharama nafuu na unaweza kubadilisha na oryx.ni mpya.mm nimenunua nilienda na mtungi wa oryx nikaambiwa upo wa oil com unaweza chukua ni rahisi bt kama ntaona haufai narudi tena kuchukua oryx
Inaelekea huwa unamkwaza sana au tabia zako c nzuri ulishamcheat sasa kila anapovuta hisia anaona kama anamwona mtu ambaye unatoka nae. ilishanikuta na mimi mpaka nikahamua niachie ngazi.
Pamoja na machungu kuna raha kama kujua kuna mtu yupo kwa ajili yangu anayefanya kila kitu kuhakikisha nafurahi pia ninapoamka kifuani kwa mume wangu pia kuwa nae wakati wa shida na raha bega kwa bega.ktk vyote kuwa nae weekend nzima.Najihisi kujiamini sana.
Sina hamu nao hao nilitabiriwa kujifungua mtoto mpaka jina la mtoto nikapewa.nikapangiwa hadi atakaomshika badala yake mtoto alikufa hata hakuiona dunia.Kiasi kikubwa imani yangu imeshuka saaana.
Habari zenu! Naomba kusaidiwa kwa anayefahamu je kuhakiki majina ya wazee wanaochukua pensheni ni wapi.hili tangazo linatokaga kwa Tv lakini hawajaonyesha ni wapi kwani hata bank hawajui.Tafadhari mnisaidie kwa anaejua maana mzee wangu ana shida.
Mume anauma sana!yalishanikuta lkn kwa kufuma sms tu,ikanifanya mpaka leo nisisahau kidonda hakijapona ingawa mwanaume anajitahid kuonyesha kujutia lakini waapi.NATAMANI SANA NITURN BACK THE HANDS OF TYM...Walioolewa na wazungu huwa wanasema wenzetu weupe hawanaga mpango wa kando.
Mie guest nipo na mpenzi tunapoanza kuchojoa tu namwambiaa nipe cm zote naweka mchagoni hapo tundi linaendelea hawezi namii siwezi hakuna kuaminiana sikuhizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.