Ndoa ngumu jamaani, ushauri tafadhari

Ndoa ngumu jamaani, ushauri tafadhari

You can call me old fashion...well,i will never leave my husband for another woman....THAT OTHER WOMAN WILL LEAVE.#Gladiators dont run,they fight#.


Dillish wa kwetu, you are 100% right and you have earned my utmost respect for that. U just cant be changing beds and men because the first man CHEATED. That is a defeatist idealogy and would infact mean you were just a trump not worth the husband or that marriage anyway. BRAVO!!!!
 
Last edited by a moderator:
1. Kutembea nje ya ndoa au niseme usaliti, uwe wa kihisia au kimwili. Hili kwangu halina mjadala kabisa. If I find out you're two-timing on me, we are through. I call it one strike and you're out policy.

2. Physical violence. Ukinitwanga na frying pan kichwani au ukinitandika chupa ya Balimi usoni, kutakuwa hakuna tena ndoa hapo. Kwa sababu nita-swing for the fences, and if I connect, lights out. Lose-lose situation there.

3. Vices nyingine kama ulevi usio wa kupindukia, uvutaji sigara, matumizi mabaya ya pesa, uvivu wa kufanya kazi, kuvaa nguo kama hoochie mama, kutumia lugha chafu chafu, uchafu wa mwili na mazingira, ili mradi tu hazijavuka mipaka na kuwa kero ambazo siwezi kuzivumilia, nadhani ni vitu ambayo mimi na yeye tunaweza kukaa chini, tukavijadili, na kukubaliana namna ya kuvikabili na kuvirekebisha.

Lakini watu tumetofautiana. Wapo ambao hata wachitiwe namna gani bado watang'ang'ana kupigania ndoa zao. Wengine hata wawe wananyanyaswa kiasi gani, iwe kihisia au kwa kupigwa bado tu watang'ang'ana.

Well, siwezi kuwakosoa sana maana huo ni uamuzi wao. Lakini huwa siamini katika upuuzi wa kudhani kuwa kwa vile tu mtu uko kwenye ndoa na kwa vile labda mna watoto basi ndo uendelee kuvumilia kila aina ya upuuzi na ujinga.

Kufanya hivyo (kuvumilia kila aina ya upuuzi na ujinga) ni kuwa mpuuzi na mjinga. Hata kama kuna watoto, hiyo haina maana ndo ushikwe mateka katika ndoa yenye kila aina ya manyanyaso.

Inafika wakati mtu unaweka mguu wako chini, unachora mstari na kusema 'sasa basi, imetosha'. Unasepa unaenda kuendelea na maisha yako.

Inshort umenigusa.
Natamani wote tungekuwa na uelewa km hui
 
.

Umewahi fikiri hasara ya kuwa na watoto ulio changanya baba tofauti...

hivi kwani we unajua hasara ya kuzaa watoto wa nje ya ndoa, kila mtoto na mamake? hebu tuanzie hapo kwanza, ukinipa jibu ndio tuje kwenye hasara ya kuzaa kila mtt na baba yake.
 
Hahahahaaaaaa mi chichemi! Usimfundishe! Ndoa itamfundisha!

kwa sabb kaomba ushauri, ngoja tu tumuingize kwenye ulimwengu wa kikubwa, sasa amekua zamani alikuwa mtt hajakutana na vitu....naaam sasa ndio amekuwa mama..
sisi wenzie yalitukuta pia, ila revenge ilisaidia sana kupoza machungu!!!!!!!!!! bahati nshafikisha idadi ya wtt ninaowataka lkn ingekuwa ndio kipindi kile haki ya nani angelea katoto ka mwanaume mwenzie.....mxiuuuuuu
 
kwa mchango huu wanaume wenye wake mjichunge sana.

hebu waambie wenzio bana, sasa hivi ni mwendo wa revenge tu!!!!!!!! yaani jino kwa jino

kinachonishangaza wanaume hawataki kabsa kulipwa kisasi, sasa km wewe hupendi kuchapiwa, mbona hujisikii vibaya kumsaliti mwenzio? au mnafikiri mioyo ya wanawake imeumbwa kwa chuma?
 
Sikuwahi kujua nilikuwa mkubwa mpk ndoa yangu ilipofika hapa!
Ghafla niliacha kuamini vyote nilivyowahi kuamini
Ghafla nilijikuta natakiwa kujishauri
Buuuuuut best part of it
Ghafla niliijua Nguvu ya Mungu katika maisha ya mwanadamu!
Aseee hebu nyanyuka hapo litazame hilo hivi
" tendo alilolifanya ulipokuta sms na simu ya honey nimekumiss ndio tendo hilo hilo alilofanya mpk akazaliwa huyo mtoto"
Sawa eeenh?
Hatushindwi maisha kwa maanguko ya watu wengine
Hatuachi kusonga mbele kwa ajili ya kushindwa watu wengine
Hatuukatai ukweli wa maisha eti kwa sababu fulani haoni thamani ya maisha hayo
Unabaki kuwa kiumbe mwenye akili,mamlaka na utashi sahihi kwa furaha sahihi kwa nafsi yako.
Ni hatua ngumu sana kuivuka ukiwa salama.MNO
Ila ukifanikiwa aseee maisha yanakuwa ni kitu Aziz sana kuliko ulivyowahi kufikiri!
Karibu kwa ushauri wa kigeloish zaidi
Anytime!

hebu mueleze ajue, sasa hapo ndio kakua, sasa anafaa kuitwa mama.......kuna mitihani ktk ndoa usiombe ikukute Wallah
utatamani ardhi ipasuke utumbukie humo
 
Kama kazini nje ya ndoa mpaka kapata mtoto hapo ni kumwacha tu hata mbele za mungu ni sawa hamna dhambi kwani imeandikwa msiachane bali kwa uasherati.
 
1. Kutembea nje ya ndoa au niseme usaliti, uwe wa kihisia au kimwili. Hili kwangu halina mjadala kabisa. If I find out you're two-timing on me, we are through. I call it one strike and you're out policy.

2. Physical violence. Ukinitwanga na frying pan kichwani au ukinitandika chupa ya Balimi usoni, kutakuwa hakuna tena ndoa hapo. Kwa sababu nita-swing for the fences, and if I connect, lights out. Lose-lose situation there.

3. Vices nyingine kama ulevi usio wa kupindukia, uvutaji sigara, matumizi mabaya ya pesa, uvivu wa kufanya kazi, kuvaa nguo kama hoochie mama, kutumia lugha chafu chafu, uchafu wa mwili na mazingira, ili mradi tu hazijavuka mipaka na kuwa kero ambazo siwezi kuzivumilia, nadhani ni vitu ambayo mimi na yeye tunaweza kukaa chini, tukavijadili, na kukubaliana namna ya kuvikabili na kuvirekebisha.

Lakini watu tumetofautiana. Wapo ambao hata wachitiwe namna gani bado watang'ang'ana kupigania ndoa zao. Wengine hata wawe wananyanyaswa kiasi gani, iwe kihisia au kwa kupigwa bado tu watang'ang'ana.

Well, siwezi kuwakosoa sana maana huo ni uamuzi wao. Lakini huwa siamini katika upuuzi wa kudhani kuwa kwa vile tu mtu uko kwenye ndoa na kwa vile labda mna watoto basi ndo uendelee kuvumilia kila aina ya upuuzi na ujinga.

Kufanya hivyo (kuvumilia kila aina ya upuuzi na ujinga) ni kuwa mpuuzi na mjinga. Hata kama kuna watoto, hiyo haina maana ndo ushikwe mateka katika ndoa yenye kila aina ya manyanyaso.

Inafika wakati mtu unaweka mguu wako chini, unachora mstari na kusema 'sasa basi, imetosha'. Unasepa unaenda kuendelea na maisha yako.
Wewe mwenyewe umo ndani ya ndoa ama? Au ndio ile kuwa fundi wa kucheza mpira mdomoni na sio uwanjani kama tulivyo wabongo kwenye soka?
 
1. Kutembea nje ya ndoa au niseme usaliti, uwe wa kihisia au kimwili. Hili kwangu halina mjadala kabisa. If I find out you're two-timing on me, we are through. I call it one strike and you're out policy.

2. Physical violence. Ukinitwanga na frying pan kichwani au ukinitandika chupa ya Balimi usoni, kutakuwa hakuna tena ndoa hapo. Kwa sababu nita-swing for the fences, and if I connect, lights out. Lose-lose situation there.

3. Vices nyingine kama ulevi usio wa kupindukia, uvutaji sigara, matumizi mabaya ya pesa, uvivu wa kufanya kazi, kuvaa nguo kama hoochie mama, kutumia lugha chafu chafu, uchafu wa mwili na mazingira, ili mradi tu hazijavuka mipaka na kuwa kero ambazo siwezi kuzivumilia, nadhani ni vitu ambayo mimi na yeye tunaweza kukaa chini, tukavijadili, na kukubaliana namna ya kuvikabili na kuvirekebisha.

Lakini watu tumetofautiana. Wapo ambao hata wachitiwe namna gani bado watang'ang'ana kupigania ndoa zao. Wengine hata wawe wananyanyaswa kiasi gani, iwe kihisia au kwa kupigwa bado tu watang'ang'ana.

Well, siwezi kuwakosoa sana maana huo ni uamuzi wao. Lakini huwa siamini katika upuuzi wa kudhani kuwa kwa vile tu mtu uko kwenye ndoa na kwa vile labda mna watoto basi ndo uendelee kuvumilia kila aina ya upuuzi na ujinga.

Kufanya hivyo (kuvumilia kila aina ya upuuzi na ujinga) ni kuwa mpuuzi na mjinga. Hata kama kuna watoto, hiyo haina maana ndo ushikwe mateka katika ndoa yenye kila aina ya manyanyaso.

Inafika wakati mtu unaweka mguu wako chini, unachora mstari na kusema 'sasa basi, imetosha'. Unasepa unaenda kuendelea na maisha yako.

Bravo Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Umemaanisha nini kusema "Mpuuzi mkubwa wewe!"
Naipenda amani ya Tanzania.
Yaani mtu katamka kabisa 'Mpuuzi Mkubwa' na mwenzake bado hana hakika kama kweli lile ni tusi au lah na bado anauliza umemaanisha nini,MH!
Puteni na nachora mstari atakaevuka tu mwenzake mwanamke, Twende sasa...>>
 
1. Kutembea nje ya ndoa au niseme usaliti, uwe wa kihisia au kimwili. Hili kwangu halina mjadala kabisa. If I find out you're two-timing on me, we are through. I call it one strike and you're out policy.

2. Physical violence. Ukinitwanga na frying pan kichwani au ukinitandika chupa ya Balimi usoni, kutakuwa hakuna tena ndoa hapo. Kwa sababu nita-swing for the fences, and if I connect, lights out. Lose-lose situation there.

3. Vices nyingine kama ulevi usio wa kupindukia, uvutaji sigara, matumizi mabaya ya pesa, uvivu wa kufanya kazi, kuvaa nguo kama hoochie mama, kutumia lugha chafu chafu, uchafu wa mwili na mazingira, ili mradi tu hazijavuka mipaka na kuwa kero ambazo siwezi kuzivumilia, nadhani ni vitu ambayo mimi na yeye tunaweza kukaa chini, tukavijadili, na kukubaliana namna ya kuvikabili na kuvirekebisha.

Lakini watu tumetofautiana. Wapo ambao hata wachitiwe namna gani bado watang'ang'ana kupigania ndoa zao. Wengine hata wawe wananyanyaswa kiasi gani, iwe kihisia au kwa kupigwa bado tu watang'ang'ana.

Well, siwezi kuwakosoa sana maana huo ni uamuzi wao. Lakini huwa siamini katika upuuzi wa kudhani kuwa kwa vile tu mtu uko kwenye ndoa na kwa vile labda mna watoto basi ndo uendelee kuvumilia kila aina ya upuuzi na ujinga.

Kufanya hivyo (kuvumilia kila aina ya upuuzi na ujinga) ni kuwa mpuuzi na mjinga. Hata kama kuna watoto, hiyo haina maana ndo ushikwe mateka katika ndoa yenye kila aina ya manyanyaso.

Inafika wakati mtu unaweka mguu wako chini, unachora mstari na kusema 'sasa basi, imetosha'. Unasepa unaenda kuendelea na maisha yako.

Are u married?Icje ikawa unatoa ushauri wakati hata hyo ndoa huijui! Juc askin tu.
 
sasa unaogopa nini ndg yangu, ndio ukweli ulivyo huo!!!!!! na hii ndio sababu kubwa ya wanawake kucheat kma ulikuwa hujui!
Kha!!! cha kufia presha na mawazo lukuki ndani kisa nini? ndio sasa wanaume wajue ubaya wa kuwasaliti wake zao, na mume wa hivo inafaa kumzalia katoto kamoja ambako si kake halafu akikua ndio unamwambia ili na yeye apate uchungu kama alioupata mke kwa yeye kuzaa nje ya ndoa....mxiuuuuu

Hahahaaa! kamusi, lol, hapo kwenye bold pametulia sana
 
Last edited by a moderator:
Kuzaa nje ya ndoa nini bwana alihali hujaambiwa ni mke wa pili anaolewa!komaa kwani jamaa alikuwa anatafuta uhakika kama watoto ndani ni wake kweli au sio mzima!!!angejuaje?
 
Sijui nyinyi watu ni kwanini mnapenda sana ku assume mambo

Story iko wazi kabisa na nimezungumza kwa uwazi

Hakuna mahali niliposema hili unalolizungumza wewe

Sasa unalitoa wapi?
Tatizo ni ngumu kuamini kaka huyo baba alikuwa anajua mkewe anachepuka na bado anaaendelea kuchepuka (maana ndani ya wiki hiyo kachepuka tena), na bado anaendelea kumvumilia mke wake, ndio maana tumehisi alipanga na mama. Ila kama ndivyo, huyo ni mwanamme wa aina yake
Anyway, ila kwa kuwa wewe ni Baba Paroko yafaa kufundisha kwa mifano,
 
hebu waambie wenzio bana, sasa hivi ni mwendo wa revenge tu!!!!!!!! yaani jino kwa jino

kinachonishangaza wanaume hawataki kabsa kulipwa kisasi, sasa km wewe hupendi kuchapiwa, mbona hujisikii vibaya kumsaliti mwenzio? au mnafikiri mioyo ya wanawake imeumbwa kwa chuma?

wamesikia
 
Back
Top Bottom