ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,765
- 3,596
Hapo hakutaki tena madam hamjaoana tafuta mwingine
Yaaa ndo mana banyania.... mwanaume wa ukwel Fanya maamuzi hujamuoa anakusumbua muache tongoza wengine ...
Hapo hakutaki tena madam hamjaoana tafuta mwingine
Sidhani, naona hayo yote ni marudio.Au ndio huyu niliyempata hivi majuzi !nampelekea moto mzito,nanawa sana,nanyonya sana halafu nagonga white. Kama ni yeye harudi kwako ng'oo
brilliant, most pple huwazaga mtu ana mtu mwngine bila kuji diagnose first
mastekey: zngatia haya then ul know wats goin on.
Nimejaribu kufanya hivyo, lakini naona hajali. Kwa mfano, nisipomcheki kwa simu tangu asubuhi hadi jioni na yeye anauchuna.
Huu ushauri utawahusu wengi sana, ila kwa kuwa wanaaibu, hawatasemaAcha kwanza kuwaza kuwa anamegwa. Fanya yafuatayo;
1-Mpe uhuru wa kuwa mbali nawe kwa muda ili mpate nafasi ya kujitafakari upya.
2-Badili style za kukurukakara muwapo 6X6.
3-Mpeleke mbali na mkoa ili apate wasaa mzuri nawe.
Kila la heri.
Akizowea hiyo hali, utamhudumia wewe...???na we funga hisia zako kwake ngoma droo akija hata akivua nguo wala haisimami kitu mtarimbo ulale doro
Asante, ntaongea nae kwa kina, though alimiambia hajisikii tuKukosa hisia za mapenzi sometime inatokea kama mwenzako kacheat au kakukwaza,au kakuchoka tu.Kutuuliza sisi unakosea sana wakati hujamuuliza yeye kwanini hana hisia na wewe.Hebu jaribu kumuuliza why hakufeel? Coz yeye ndo mwenye jibu sahih.Hebu ongea naye in a romantic way kwamba kwanini hana hisia na wewe.
mhh how dd u know nipo ars?Afu wewe uko hapa hapa mkoani Arusha? Tutafutane.
Duh meipenda hyo.Face the exit door....run away.....take off!!