Tatizo naonaga kama anatumia nguvu nyingi kupita kias mpaka inakuwa kero kwa msikilizaji,
Mpaka nabadili station nyingine maana
zile kelele nais kama yuko mitungi,
niliacha kusikiliza kipindi cha magazeti bado yupo na Kitenge,
Kuna watu ni mabingwa wanajua kucheza na akili za watu, kupitia matatizo mtu aliyonayo basi watu wanapata fursa na kupenyeza utapeli wao na mwisho wa siku mtu anakuja kushtuka ashaumia ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.