Kama zilivyo starehe zote zinataka gharama hata MAWEED pia yanataka gharama...
kama ambavyo kuna kuna pombe zinauzwa mpaka 100k pia zipo za 500,hata plantae ni hivohivo...
Nunua bush skunk ya hapo songea tu unapata bangi nzuri kwa tz hii,elf 5 tano tu unapata robo ya puri la blunt bubu...
nunua...
Polisi wanalishwa na mama,wanajeshi wanakula kwa mama,ffu wanakula kwa mama....
Mimi nakula kwa nguvu zangu kama nitavunjwa shingo,tundu lissu hawezi kunipa hata 100 mbovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.