Mkuu nani aliyekwambia kuvuta bangi ni dhambi? Unaushahidi? UnawezaLeta maandiko? Au yanakutoka tu?
Halafu hii dhana ya kwamba jamdam nchi zima wanavut bangi mnaitoaga wap?
Jamdam kuna wachungaji,mashekhe,nun na watu wenye prof zao kama nchi nyengine...
Sio kila rasta lazima anavuta bangi...
Kwenye haya majini ya zamani sio leonardo da vinci wala autrovidius anaeweza kumfikia uwezo michalangelo...
Ile picha na michoro ya bikira maria pale rome ni zaidi ya kipaji...
Maybe MONA LISSA ya vinci inaweza karibia kaz za angelo
Tabia ya mapenz huchanua popote pale hukohuko kwenye malaya utanasa tu niamini..
Utakuja kutana na malaya utaenjoy company yake utarudia kumnunua tena na tena,mwisho ataanza kukupa bure...
Kuna siku utajisemea "labda huyu ameuza sana amechoka na anataka maisha mapya" utamuamini na utampenda...
Kwanza kuwa na familia sio lazima et kisa wewe ni mwanaume acha fikra kandamizi mdogo angu....
Halafu kwa umri wako bado mdogo sana kuwaza mapenzi na nimefurahi kuona umejitunza mpaka kufika hapo...
Muulize shangazi yako leo dada akwambie mapenzi yalivyokizungumkuti, utaunguaa...
Kwa mtu mwenye talanta kubwa kama Coy Mzungu hili alilijua mapema ndio maana alikata asilimia zake mapema....
comedian ni kama walijisahau,hakuna msaada wa bure na goodthing nikwamba coy hakuwaomba rushwa ya pesa wala ngono(hili naushahidi nalo)... wanaanzaje kumind anapokula hela za endorssement
Labda issue kwakua tonombe mukoko ni popular lakn kama nimatukio mbona tunapigwa mengi zaidi ya hilo....
Binafs nilishaleta na uzi wa kupigwa(kutapeliwa) shamba la maharage heka 2 na robo na m-bena flan wa korito njombe pale tena limepandwa maharage ya mwezi na nilileta uzi humu Mpwayungu...
ndio maana ulaya team zinaingia mbili kipindi cha kwanza wanacheza 11 na sub 4 lazma hyo...
kipindi cha pili tena hivo hivo..
mwanangu GUARDIOLA alikua anamwambia mpaka kocha wa team pinzani achezeshe mabeki 6 na viungo wakabaji 2 ili ajaribu foward line yake
Ushauri wa bure ukitaka usiombwe sana hela fany hivi ile siku anakupa namba mpe na 20k au 10k ya vocha utakuja nishukuru....
Yan unaweza kumla kwa hiyohiyo 20k...
Halafu wakuu unakutana na mchumba amesuka vizuri amepaka makeup perfume kali halafu wewe unataka upeleke maneno na huruma zako...
Sisi tumezoea kudangiwa tunaoa haohao wadangaji....
Binafsi imefika pahala nikiwa kwenye mahusiano na siombwi hela nahisi sipendwi au labda demu anataka kuniunguza na UKIMWI ndio maana haombi hela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.