Recent content by MAWEED

  1. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Imekuaje kunywa pombe dhambi

    Mkuu nani aliyekwambia kuvuta bangi ni dhambi? Unaushahidi? UnawezaLeta maandiko? Au yanakutoka tu? Halafu hii dhana ya kwamba jamdam nchi zima wanavut bangi mnaitoaga wap? Jamdam kuna wachungaji,mashekhe,nun na watu wenye prof zao kama nchi nyengine... Sio kila rasta lazima anavuta bangi...
  2. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Yanga anafungwa leo

    Yan ndo naamka hata bangi ya kung'oa lock sijavuta nyie mmekazana na kariakoo dabi..
  3. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Ijue sanamu ya David iliyochongwa na Michelangelo

    Kwenye haya majini ya zamani sio leonardo da vinci wala autrovidius anaeweza kumfikia uwezo michalangelo... Ile picha na michoro ya bikira maria pale rome ni zaidi ya kipaji... Maybe MONA LISSA ya vinci inaweza karibia kaz za angelo
  4. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Ex mchezaji wa Yanga aingizwa mjini, atapeliwa NYUMBA na mbongo, kataa ndoa kichekoo, tusali sana wajameni

    Asante... Na nilikoma maana nilizan poapoa kumbe sio pow
  5. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Ex mchezaji wa Yanga aingizwa mjini, atapeliwa NYUMBA na mbongo, kataa ndoa kichekoo, tusali sana wajameni

    Ndiyo na niliamin kwakua ni mwenyej wa kule angesimamia vzuri wakati me naendelea na pilika zingine
  6. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Kiukweli Sihitaji tena mahusiano na mwanamke yoyote yule,

    Tabia ya mapenz huchanua popote pale hukohuko kwenye malaya utanasa tu niamini.. Utakuja kutana na malaya utaenjoy company yake utarudia kumnunua tena na tena,mwisho ataanza kukupa bure... Kuna siku utajisemea "labda huyu ameuza sana amechoka na anataka maisha mapya" utamuamini na utampenda...
  7. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Nataka niuache udomo zege nimechoka

    Kwanza kuwa na familia sio lazima et kisa wewe ni mwanaume acha fikra kandamizi mdogo angu.... Halafu kwa umri wako bado mdogo sana kuwaza mapenzi na nimefurahi kuona umejitunza mpaka kufika hapo... Muulize shangazi yako leo dada akwambie mapenzi yalivyokizungumkuti, utaunguaa...
  8. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Anachofanyiwa coy mzungu na comedian aliowapa nafasi kwenye platform yake ni ishara ya tenda wema nenda zako

    Kwa mtu mwenye talanta kubwa kama Coy Mzungu hili alilijua mapema ndio maana alikata asilimia zake mapema.... comedian ni kama walijisahau,hakuna msaada wa bure na goodthing nikwamba coy hakuwaomba rushwa ya pesa wala ngono(hili naushahidi nalo)... wanaanzaje kumind anapokula hela za endorssement
  9. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Ex mchezaji wa Yanga aingizwa mjini, atapeliwa NYUMBA na mbongo, kataa ndoa kichekoo, tusali sana wajameni

    Labda issue kwakua tonombe mukoko ni popular lakn kama nimatukio mbona tunapigwa mengi zaidi ya hilo.... Binafs nilishaleta na uzi wa kupigwa(kutapeliwa) shamba la maharage heka 2 na robo na m-bena flan wa korito njombe pale tena limepandwa maharage ya mwezi na nilileta uzi humu Mpwayungu...
  10. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Kwani kuna ulazima kwenye haya matamasha kila mchezaji ACHEZE?

    ndio maana ulaya team zinaingia mbili kipindi cha kwanza wanacheza 11 na sub 4 lazma hyo... kipindi cha pili tena hivo hivo.. mwanangu GUARDIOLA alikua anamwambia mpaka kocha wa team pinzani achezeshe mabeki 6 na viungo wakabaji 2 ili ajaribu foward line yake
  11. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Matako Bar-Ya Arusha

    Nimeshawah ikuta matako bar saza mgodini ile ilikua mitako sio matako
  12. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Hiki nilichokifanya hakitoleta shida huko mbeleni

    Ushauri wa bure ukitaka usiombwe sana hela fany hivi ile siku anakupa namba mpe na 20k au 10k ya vocha utakuja nishukuru.... Yan unaweza kumla kwa hiyohiyo 20k... Halafu wakuu unakutana na mchumba amesuka vizuri amepaka makeup perfume kali halafu wewe unataka upeleke maneno na huruma zako...
  13. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Huyu mtoto wa RUTO ameleta masimango humu
  14. MAWEED

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Ee BIJAMPOLA PUB nimewah ingia ninunue malaya nkaambiwa wamebak wa af 3000 tatu... aisee bijampola
  15. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Isaya Yunge awakwepa Wadangaji lia-lia (wapiga vizinga, njaa kali) Bongo!

    Sisi tumezoea kudangiwa tunaoa haohao wadangaji.... Binafsi imefika pahala nikiwa kwenye mahusiano na siombwi hela nahisi sipendwi au labda demu anataka kuniunguza na UKIMWI ndio maana haombi hela
Back
Top Bottom