Recent content by MAWEED

  1. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Kama uta pata ajali ya kujiunguza au mtu wako wa karibu akiungua mtibu hivi ata pona papo hapo

    Acha utani mkuu!!! Hivi umewahi kuungua vizuri kweli?
  2. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Yah hata mimi nilipiga kura kwenye house of ashur poll kwamba series imekosa uhalisia Na series inatakiwa kuwa cancelled... Nilipomuona "achillia" kwa mara ya kwanza nikajua atabakwa sana kwenye ludus za gladiator... More than that spartacus ni hadithi ya kweli na script inatoka kwenye kitabu...
  3. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi msichana kuvaa nguo za ndani za kiume(boxers)

    Chupi zinaumiza wanasema
  4. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Pep Guardiola ni mbaguzi sana, bora kastaafu

    Etoo amekaa barca miaka 5 magoli zaid ya 120,unataka acheze mbinguni? Sterling na ballon!!! Wap na wap? Acha kuamini stori za vijiweni... Guardiola amebeba league mara tatu mfululizo na toure yupo bench tatizo nini? Issue ni success
  5. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Tufurahi kidogo:Je una historia gani na kuberi?

    Mkuu umesoma kantalamba?
  6. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Tufurahi kidogo:Je una historia gani na kuberi?

    2007 nipo form 4 seminary moja pale songea,time za break nilikua nakula bangi then muda wa prepo nakula kubeli,basi vile nilikua nasizi washkaji wakawa wanapenda sana... Siku moja dom leader akaomba kubeli tena kwa kitisho kwamba nisingempa angenichomea..basi nikampa matemeo(kubeli ambayo...
  7. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Tufurahi kidogo:Je una historia gani na kuberi?

    Tofauti pakubwa tu... Kubeli inatoka india na pakistan,inasindikwa kiwandani,inalipiwa ushuru na set moja unaweza ukairudia zaidi ya mara 4
  8. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Baada ya Trump kukosa points Iran sasa anataka kuzipata kwa Cuba?

    Cuba wanahali mbaya sana kiuchumi ndio maana anatumia hio njia kuwakandamiza
  9. MAWEED

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipo gheto kwa demu wangu, nimechelewa kuamka, dingi yake yupo nje nifanyaje?

    Mwambie akununulie kile kipoti wanachonyea watoto ili ukibanwa na mavi unye humo kwenye kapoti.... Ila usile sana unaweza kukajaza mavi kabla giza halijaingia
  10. MAWEED

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ulishasamehe mtu aliye cheat na akajirekebisha??? or once a cheater ..always a one

    Kucheat ni kama kula nyama ya mtu,ukila mara moja huwez kuiacha... Ukishacheat iwe kwa kisasi,hasira,ulilewa au ulibakwa hapo ndo tumeachana.. Unacheat na mtu kakupiga bao 4 na anakukojoza kila round then mkimaliza anakupa hela ya kulipia rent unadhan usaliti kama huo utakwisha?
  11. MAWEED

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume nipe ushuhuda ulivyoweza kuacha kujichua

    Imeandikwa alaaniwe yule anaejitoa mbegu zake kwa kutumia mikono yake
  12. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Machozi, jasho, damu, kukata tamaa,masimango, kejeli na kuendelea kupambana mpaka ubingwa, Arsenal the club, funzo la maisha

    Laana imehamia manchester united watajuta toka 2013
  13. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa hip hop ninao wakubali, nje ya mipaka ya Tanzania

    Hapo umezngatia vigezo gani? kama ni mafanikio basi upo sahihi... Ila mimi kama MAWEED nakwambia khaligraph jones ndio namba 1 africa.. Alishinda beef na sarkodie,beef na casper nyovest.... nan mwingine atakuja? Nenda kasikilize khali karter 1 mpaka ya 7,halafu rudi hapa uje kuedit post yako
  14. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Mkuu tembea uone,mafinga kuna mtaa unaitwa makuma road.... Ile sodoma na gomora haikufikia hapa makuma road... Vingi vya laana nilivyokosa kuviona mikoa mingine pale niliviona kwa macho.
  15. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Special Thread: FIFA World Cup 2026 - Canada, Mexico & USA

    Watoto wa malikia zamu yetu mwaka huu
Back
Top Bottom