Recent content by MAWEED

  1. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Wenye Baa tafadhalini Pandisheni Bei ya Chupa za Maji!

    Umefungua bar mkuu?
  2. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Siku hizi mapishi wanajifunza online hakuna msichana asiyejua kupika zama hizi labda awe anakuigizia
  3. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Itafute na KNIGHTFALL Ni series ya kitambo kidogo ila ni🔥... Kama hujawahi iona
  4. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Kwakua ni mtazamo wako nakubali lakini usitumie kigezo cha rate kuonesha hiyo movie Kali wote tumeiona..... Overall rate ni 8.7 na hii ni rotten tomatoes 🍅... 10/10 ni rating ya enjoyment binafsi, sio necessarily quality ya filmmaking. The Runner ina weaknesses nyingi: screenplay yake ni...
  5. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Kali mno.... series zenye rate ya 9.0+ ni chache msimu huu.... Troy na Ile cytosleep anaweza kulala Miaka 200 na akaamka kijana I mean Charlotte nae huwa analala,victor .... Yan SILO 1 wote hawazeeki ni kama immortal
  6. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Wasanii wamfariji Rais Samia baada ya msiba

    Maskana fil janna
  7. MAWEED

    JamiiForums Tanzania KERO Video: Je, ingekuwa wewe ndo abiria wa hili basi ungechukua uamuzi gani?

    Kuna mtu alimpiga kabari dereva kwa michezo kama hio
  8. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Akamatwa na ubuyu inasemekana una bangi

    Narcotics zinapigwa burn mpaka kwenye packet ya karanga.... Ukiziona unajua ni karanga!!!! Tafuna sasa
  9. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mtu mmoja anakula sana lakini hana kitambi, mwingine anakula kidogo na ananenepa?

    Kama mlo wako wa asubuhi ni kande na vitunguu unafikiri kitambi kinatoka wapi
  10. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wowote kuhusu safari yangu ya muziki, sikutegemea itakua ngumu kiasi hiki

    Weka kibao chako hapa ili tupime kiwango cha ushauri wa kukupa tusije tukakuzidishia dozi
  11. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Unaikumbuka Power breakfast ya clouds kipindi cha bifu na Ruge na Sugu.

    “First off, fack your bitch and the clique you claim.” hii lines ilikua inarudiwa Sana Yani ilikua entirely mess
  12. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya internet kwenye rooter za Airtel

    Hakuna cha auto wala nini ikikaza utarudisha default lakin wapi
  13. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya internet kwenye rooter za Airtel

    Internet ikikaa Sawa wanarudi na GB12 za ofa me wameshanipa.... Wanatupoza hasira
  14. MAWEED

    JamiiForums Tanzania Video: Diwani apigwa Tofali la Kichwa na wananchi

    Kuna sehem ukiionenekana na Yale maibaskeli ya mama Samia wanakupiga kama mwizi unakufa
Back
Top Bottom