Yanga anafungwa leo

Yanga anafungwa leo

Punguza mahaba ongelea uhalisia
Mahaba yapo wapi mkuu, mchezaji ambaye aliyekuwa akiwasumbua simba ni pacome jayupo, hawa wapya kwa ukubwa wa mechi hii pamoja na kocha mpya nawaona wakihenyeka, presha itakuwa kubwa tofauti na simba, wachezaji wao wote walioanza kwenye mechi tatu zilizopita wapo pamoja na benchi la ufundi. Mimi karata nimeiweka kwao.
 
Ila kiukweli ukitazama vitu flan vidogo vidogo (japo vinaweza kuwa na impact) simba wana advantage zaid ya kushinda kuliko Yanga.
Kocha wao ni yule yule ambaye kshamfunga Yanga na kusuluhu mae
KIkosi chao ni kile kile maboresho si makubwa sana ambacho kilimpa matokeo

Mengine yanayobaki ni ya nje ya uwanja labda kama yanaweza leta shida. Ila ndani ya uwanja, simba nampa benefit of doubt kuliko chama langu Yanga
 
Ila kiukweli ukitazama vitu flan vidogo vidogo (japo vinaweza kuwa na impact) simba wana advantage zaid ya kushinda kuliko Yanga.
Kocha wao ni yule yule ambaye kshamfunga Yanga na kusuluhu mae
KIkosi chao ni kile kile maboresho si makubwa sana ambacho kilimpa matokeo

Mengine yanayobaki ni ya nje ya uwanja labda kama yanaweza leta shida. Ila ndani ya uwanja, simba nampa benefit of doubt kuliko chama langu Yanga
Leo kitakacho tuponza yanga ni Mabeki
 
Back
Top Bottom