Bure dawa hii hapa asili Safi unga wa mdalasini pakaa SEHEMU husika nikuliko dawa yoyote ya fangus unayoijua wewe na hio hio kula viko vya Chai vikubwa 3 asabuhi na jioni kiwango vikombe vya Chai vitatu asali vitatu unga wa mdalasini
Mimi ninae mtaka
Awe muwelewa
Muislam
Miaka 30/37
Awe ana uelewa wa
Hali ya juu computer
Awe ana swali
Mtoto ikiwa anae sio tatizo
Awe mstarabu
Awe namapenzi ya Kweli
Mimi nina miaka 38
Nimejiajiri ni mstarabu
Sipendi ugomvi
Maisha yangu ni wastani
Yes yes yes tuuliiia usipaparike jua tambua kuwa Muungu kukupenda bora alivyo kukusaliti hivi sasa kuliko baaada ya ndoa au hakudhihirishii lakini ikawa analiwa na akakufanya akupenda aulisikia ile taarifa iliyoletwa na watu watu watathmimi kuwa watu wenyekuwa kwenye ndoa Kati ya watoto Sita...
Aaaaa mambo yakuombeana kifo au kujiombea ya siwepo tukifa ni mambo ya family sio yetu tume wa hudumikia wazee wetu na sisi watoto wetu watatuhudumikia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.