Asantemama mtarajiwa njoo huku zali la 'mentali' hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mhh mungu tuulumie waja wako mpaka coz ya computer nayo imisha kuwa kigezo cha mke bora
hatari lakini salama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sijui computer sasa itakuaje!!!Asante
Hujui computer? Ni lidude Fulani hivi linakokotwa na baiskelisijui computer sasa itakuaje!!!
Nmekumiss ww [emoji6][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sitaki mtu mieMiss Natafuta umesha graduate ile kozi yako ya Microsoft word? Leta cheti huku kuna sheikh ana shida nacho
Jamani ni Sitaki MTU ila kwa Miss Natafuta najikuta uhitaji Wangu unaongezeka kila wakati.sitaki mtu mie
mmmhNmekumiss ww [emoji6]
Ck ming nmeingia hum jf, now am back am i missed u [emoji45]mmmh
Aiseeee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]mhh mungu tuulumie waja wako mpaka coz ya computer nayo imisha kuwa kigezo cha mke bora
unatafuta mfanya kazi sio mke! uelewa wa computer wataka kumpa kazi?