MGILEADI
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,621
- 1,543
Tangu nizaliwe leo ndio nimesikia hiki kitu ulichosema.
Hebu tueleze haya mambo uliyapata wapi?..........Binafsi nadhani ni propaganda za kutengenezwa ili zi-fit utabiri wa Yesu ambao haukutimia.
Ndio maana nimesema ipo simulizi yaani "church historical tradition" inasema hayo! Hatuna maana kuwa imethibitishwa rasmi, ila ipo simulizi ya jinsi hiyo. Ni kama zile zinazohusu maisha ya baadaye ya wanafunzi wa Yesu, kwamba fulani alifia wapi na fulani alikufa namna gani! Huwezi kuzikataa hizo kwani zipo kwa kila dini. Hizi zinaaminika ikiwa zitakuwa na ushahidi wa waandishi wengi ama vyanzo vingi vya kihistoria. Nipo Safari nje ya nchi nitakapo rudi nita-attach source moja wapo ya hii Habari.