mattargsm
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 391
- 150
sasa ole wako ukute dushe ndo active... lazima utie adabu....!Hapa kuna uongo..kama ni mkweli lazima moja iwe active kuzidi nyingine ..
Piga picha nyingine,tutaamini kweli tatizo unalo..Naona wengine wananikebehi, jamani sio utani Na nahitaji msaada
Asanteni kwa ushirikiano Na ushauri wenu. Nimeshapata mpenzi niliekuwa natafuta. Mliokuwa bado mnanitumia msg asanteni sn msiendelee kutuma jmn msg zimekuwa nyingi sn. Mungu awabariki wote
Mkuu kwanini mtu akizaa mlemavu wa, tuseme miguu, mlemavu atatafutiwa kiti cha gurudumu n.k?kwahiyo msianze kulaani oho mashoga oho what watu wanaumbwa hivo hawakuomba kama laana ni muumba basi.
Habarini za jioni wana jamii wenzangu,
Ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi wa kweli, mimi ni mwanamke mrembo lakini nina jinsia mbili ya kike na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.
Nipo serious,asanteni
MmhMsaada wa kitabibu ili ubakiwe na jinsia moja iliyokamilika hauhitaji?
duh umeniua mbavu jf sihamiUnaanza kuboa sasa. Jibu maswali uliyoulizwa mfano Kama unakojolea K au dushe. Je ulishawahi kula k ya msichana? Ndugu yangu kufumua marinda ya mwanaume ni sawa na kifo.
Ha ha ha toka nazaliwa miye tabibu BibieMmh
Lini umeanza kuwa tabibu?