Ndugu zangu nimepata kuona na kusikia kwa watu wengi siku hii eti njia(Kupanda minarani na kutishia kujitupa)ya kudai stahiki zao ni kwa kupitia njia hii ya mkato ili kupata chako mapema.
Sasa najiuliza hivi hapo unadai na ungependa kupewa na kufaidi stahiki zako ama kuacha Ndugu zako...
Hapa nimetoka kukurupuka kwa kupitiwa na usingizi kidogo but naona mbele yangu sura ya Mh. Anakusanya vitabu uyake pale ofisi kaambiwa eti jipu lake tayari limeiva na anajiaandaa kwenda theater mda huu. NI NDOTO YANGU TU NAJARIBU KUFANINISHA.
Ninaomba msaada wenu hapa kwa hii caption je? Maigizo ama wanahimiza Ndoa za Jinsia moja? Me nacheck hii movie sasa nipate tafakuri na nyie mnipe mawazo yenu.
Napenda kuwapa pole kwa wote ambao huenda mchana huu unawapita Deshi bila kula.
Kikubwa ni kutaka mawazo yenu kuhusu huyu mke wangu. Ni mwaka wa 3 sasa anafanya biashara ya nje yaani Kenya na Msumbiji( Nguo za kike kama Vitenge na Misuli ) ila sioni tofauti ya kimaisha na kiuchumi. Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.