Wakuu habari zenu?sorry natatizo ktk application iyo(instagram) tangu jana najaribu kulog in haitak kabisaa na anuani ni ile ile hata neno siri pia ni lile,imegoma jana hadi leo hii,upande wa network iko sawa kabisa na hata bundle pia,ila sasa sijui shida ilipo,please kwa anaefahamu msaada...
hakuna umasikini mkubwa kama umasikini wa fikra,yaan kuna wakati najiuliza ilikwendaje mwaraabu mmoja anadhibiti kijiji?haiingiii akilini kabisa wala tende wale kuteka vipande vya miraba kama hv!dah nawaza kwa sauti naona kama maigizo tu
Habari zenu wakuu,
Nahitaji msaada wenu juu ya simu iyo tajwa hapo juu, imeanza tatizo la kujizima na kujiwasha pindi ninapotaka kupokea simu iliyopigwa, na pia wakati flani namba zinajionyesha bila jina ingawa zimehifadhiwa ktk kitabu cha simu, mwenye suluhisho tafadhali anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.