Mathias1981
Member
- Jul 10, 2011
- 69
- 19
Pole kwa wafiwa ila jamaa anaroho ngumu nae kujimaliza hewa.kisa viroba???
Hakuna kitu kinacholingana na thamani ya uhai. Endelea na akili yako kubwa iliyoganda.Kwa akili ndogo unaweza kusema hivyo.hayajakukuta wewe
Huelewi pengine umejaliwa kuwa na mke au mume mwenye mapenzi ya dhati, pia jamii iliyokuzunguka ni njema,makuzi uliyokulia ni mazingira salama,,, ndugu yangu wengine hatuna hayo yote ni ya kununua sasa swali. Bila pesa na mali tutaishi maisha gani? Acha tu maisha yaende tu ila usilolijua ni sawa na giza. Waliopitia changamoto nzito tunapenda kusema ndugu yetu muda umemfika wa kurudi nyumbani kupumzika na astarehe kwa amani. Amina.Me huwa sielewi mtu unajiua vip kwa sababu nya mali. Hamna kitu kibaya kama kushikanisha nafsi yako na mali. Tulikuja duniani tukiwa hatuna chochote na hivyo tutaondoka tukiwa watupu.
Tuwe na ushirika na Mungu na jamii inayotuzunguka. Hii ndiyo furaha kamili. Furaha ya kweli si katika mali bali katika kumuabudu Mungu na wapendwa wako katika familia, mke,mume, watoto, wazazi, na hata marafiki.
Tuache kuabudu mali, hii ndo inapelekea watu kuuana, kulogana, kudhulumiana, kufanya ndugu mandondocha n.k. Laiti tungejua yule unayemuua, au kumdhulumu au kumfanya ndondocha ndiyo furaha yako, mtu asingefanya vile.
Nasaha hizi ziwaendee wote washakamanisha nafsi na mali.
Lkn unajua kuwa tangazo la awali kupiga marufuku viroba lilitoka mwaka jana mwezi wa 6 hivi, na liliweka ukomo wa viroba kuwa 1 jan 2017?Ashusheje hv inszsni hawakushusha?na unazani ni yeye tu mwenye hivyo viti?
Ok sawa na mwenye kiwanda je inakuwaje.Lkn unajua kuwa tangazo la awali kupiga marufuku viroba lilitoka mwaka jana mwezi wa 6 hivi, na liliweka ukomo wa viroba kuwa 1 jan 2017?
muda umepita, na mambo yamebadilika, lkn fikra na tafakari za watu (akiwemo marehemu), zilibaki vile vile, kwenye "kilevi cha mazoea"....
Wewe utakua unaumwa akili nenda mirembe ukapimwe.Lala Salama Mselia, Japo hukufanya vyema kujiondoa uhai.
Lawama zote nazipeleka kwa serikali iliyojaa uonevu.
Acha utaira wew vijana wangapi wanakufa kisa hvyo viroba,,, wengne vinawazidi mpaka wanashindwa udumia ndoa zao,,, vifo vingi vya vijana WA boda boda husababishwa na kukithiri unywaji wa viroba,,,,, Leo mtu kajiua unasingizia serikali onevu je matatzo katka jamii kuhusu vijana wanaotumia vinywaji vya viroba, kwanin usilaumu viwanda na wauzaji wa viroba........ Wakati mwingne msicoment vitu ili mradi uonekane umecomentLala Salama Mselia, Japo hukufanya vyema kujiondoa uhai.
Lawama zote nazipeleka kwa serikali iliyojaa uonevu.
Ni kawaida wenye akili ndogo kama hizi zako wapo na wataendelea kuja kuipongeza serikali ya matamko kwa upuuzi huu wanaoufanya. Bora ukae kimya na si kushadadia alicho fanya huyo jamaa kwa maana hujui nini maana ya biashara, endelea kusubiri ugali wa shikamoo.Mwache ajipige risasi,serikali ilitoa muda wa kutosha alitakiwa atumiwe common sense
Mkuu yesu alibariki lakini kwenye harusi ile kwenye mji wa khanaHata Mungu hapendi viroba
Acha ubashite,hujui huko ndipo ullipo mtaji wake wote''Amejitoa maisha yake kufa kwaajili ya VIROBA?''
Bro..."when you clear a wheel, don't care who fall"...that's the rule, unless you entertain corruption, and nepotismOk sawa na mwenye kiwanda je inakuwaje.
Acha akili finyu usikute mwenzio alikua na mkopo kupitia hyo biashara!''Amejitoa maisha yake kufa kwaajili ya VIROBA?''
Lazima ulaumuLala Salama Mselia, Japo hukufanya vyema kujiondoa uhai.
Lawama zote nazipeleka kwa serikali iliyojaa uonevu.