Pole sana Mzee; nimefarijika jinsi unavyoeleza details za namna unavyomfahamu Waziri na urafiki wenu wa muda mrefu. Pole kwa kupoteza rafiki mliodumu na hongera kwa uandishi uliotukuka.
Dawa za kuzuia nywele kuota zipo nyingi sana na brand tafauti tafauti; nakushauri kama unaishi kwenye miji mikubwa kama Dar au Arusha tembelea maduka makubwa ya cosmetics watakushauri dawa nzuri kutumia kutokana na ngozi yako umri n.k.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.