Recent content by masupio

  1. masupio

    Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

    Mbwembwe kibao; ma legendary hatunaga muda wa kusimulia vitu vidogo vidogo kama hivyo.
  2. masupio

    JamiiForums Usiku wa manane

    03:50
  3. masupio

    Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

    Nimekuelewa sana; hata hivyo naomba ufafanuzi, unamaanisha mbolea za asili mfano samadi hazitoleta matokeo tarajiwa kwenye kilimo chetu?
  4. masupio

    Buriani Rafiki Yangu Waziri ''Maestro" Ally

    Pole sana Mzee; nimefarijika jinsi unavyoeleza details za namna unavyomfahamu Waziri na urafiki wenu wa muda mrefu. Pole kwa kupoteza rafiki mliodumu na hongera kwa uandishi uliotukuka.
  5. masupio

    Mtoto wangu hataki kuniita Baba nifanyaje?

    Kwani huyo mtoto mwenyewe anasemaje?. Usikute unajua hujui
  6. masupio

    Ushauri: Baba hataki nimuoe binti kisa baba yake mkubwa alikuwa mwizi!

    Kwani huyo baba mkubwa yeye anasemaje?
  7. masupio

    Naomba kufahamu dawa ya kuzuia NDEVU kuota haraka

    Dawa za kuzuia nywele kuota zipo nyingi sana na brand tafauti tafauti; nakushauri kama unaishi kwenye miji mikubwa kama Dar au Arusha tembelea maduka makubwa ya cosmetics watakushauri dawa nzuri kutumia kutokana na ngozi yako umri n.k.
  8. masupio

    Nahitaji kujifunza kuongea Kiingereza kwa mtiririko mzuri

    Kunywa monde ya kutosha tena changanga k vant, nyagi, balimi...umombo uta tiririka tuu. Utakuja kunishukuru Sent using Jamii Forums mobile app
  9. masupio

    Mwanafunzi apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kubaka na kumpa mimba mwanafunzi mwenzake

    Yaani alimbaka na kumpa ujauzito papo kwa hapo au walisubiri mimba ilipotungwa ndipo akashtki amebakwa?
  10. masupio

    Mama mkwe kajichimbia naona shida kumtoa

    [emoji23][emoji23] sasa inahusiana vipi??
  11. masupio

    Mlioko Bagamoyo haya ndo Mavitu tunayoyafanya muda huu.

    Kwani bado mnaruhusiwa kukaa na simu bwenini?
  12. masupio

    Maisha ya ndoa ni magumu

    Tuma japo kapicha basi ili tuweze kukushauri vizuri ubaki au utoke; unaeza kuta yeye ndio anakuvumilia
  13. masupio

    Kosa la Kebwe ni lipi?

    Yaani umeandika na kujijibu au
Back
Top Bottom