MPANGO WA KUENDELEZA MICHEZO TANZANIA
1.UTANGULIZI
Tangu kupata uhuru nchi ya Tanzania mnamo mwaka 1961,kumekuwa na sintofamu kubwa kwenye maendeleo ya sekta michezo na burudani.Hakukuwahi kuwapo mafanikio yoyote ambayo ni ya kujivunia na endelevu katika mchezo wowote kwa zaidi ya miongo mitano...
Habari wana jamiii,Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza katika chuo Fulani nchini,,Pia ni muhanga wa janga la ukosefu wa ajira rasmi kwa wasomi linaloendelea nchini.
Katika hangaika hangaika zangu nimefanikiwa kupata ka mtaji kidogo ambacho nimeamua kukazungusha kwa kufungua kaofisi...
hapo mwanzo nlikuwa nkiona watu wanajiita great thinkers but what they post and discuss vilikuwa agaist what they claim to be,,but now nmegundua kuwa kuna great thinkers kweli,na kuna kenge ambao wengi wamejoin recently,,but cio wote waliojoin recent ni kenge na wafata mkumbo,,ila wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.