issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 2,956
- 4,782
hahahahhNjomba kashashtuliwa na kaka zake kabana vijisenti kidogo, jimama limesonga kusaka fursa zaidi.
hahahahhNjomba kashashtuliwa na kaka zake kabana vijisenti kidogo, jimama limesonga kusaka fursa zaidi.
Halafu anaonekana mmakonde kwa wolperhata hivyo walikuwa hawaendani bwana! harmonize anaoneka mtoto kwa wolper,
hivi ni hit and run au eat and run,,maana wana jf mnanichanga!!!Eat and run
Ila wana moyo wa chuma. Hawana tofauti na wale madada poaNi mgodi kabisa.. Unatengeneza pesa
Kafaidi nini hapo?True that
Ila hamonize kafaidi sana
Sio kila kitu mnasingizia wanaume wa dar,huyo kijana hana zaidi ya klismas tano hapa daslama,dogo katoka ntwala juzijuzi tu.Wanaume wa dar kazi mnayo. Endeleeni kupigwa vibuti. Karibuni nyamakongo tulime uwele.
Mbona kawaida kuachwa.Yaani mwanaume unaachwa?