ijumaa ijayo NCCR nao waende kuonja maji ya ikulu kisha wanaharakati nao waelekeee huko wakanywe juice ya ikulu halafu wananchi tuamue wenyewe hatutaki mtu wa kukaa bele yetu
Tujifunze kuwa na subira hizo ni tuhuma tuchangie zaidi asimamishwe nafasi ya uwaziri halafu tupime matokeo ya ripoti ya uchunguzi ndipo tuanze kusema kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi uchunguzi uliofanyika
1. Kwa sababu mikoa mingine haina mawaziri
2. Inategemea umakini unaupima kwa vigezo vipi?, kuonekana kwenye vyombo vya habari mara nyingi, kupenda kuonekana kama unafanya kazi bila kuangalia athari ya matendo yako yaani kuamua kufanya bila kupima Faida na hasara
3. Kwasababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.