SOLIDARITY FOREVER,serikali haina ubunifu kumaliza matatizo ya Elimu yetu.kila siku wanakuja na mifumo kandamizi na inayoua elimu yetu,Viva DARUSO hakuna kulala warudisheni wenzenu.
Kwani bangi ni haramu???????????
hivi serikali iko wapi
@haijui kuwa RIZILA kazi yake ni kunyongea misokoto na TRA hujipatia mapato hapo?
@viwanja karibu vyote vya mpira hapa dsm ni sehemu ya kukutanisha vijana na kutumia vilevyi tena bangi kwa wingi?
@hivi yule mwakilish wetu balozi wa ITALY...
nchi ya kitu kidogo ndo chanzo cha kupatikana wawakilishi feki kama hawa,Mungu waadhibu na kuwaaibisha upendavyo tena siku si nying zijazo maana wako kwa maslah yao na chama chao si kama masilahi ya nchi yetu.Mbuge analala bungenu akishtuka anapiga makofi bila kujali kama waziri anaongea point...
Binafsi nashindwa kuelewa utendaji wa jeshi polisi hasa kanda maalumu ya dsm.hivi hawajui kuwa kuna kikundi cha wahuni maarufu kama MATEMBO hapa ubungo mataa au ndio kulindana.Hiki ni kikundi chenye maskani yao nyuma ya msikiti wa ubungo maji na wametawala hadi stend ya mwenge.Hujipatia fedha...
imebaki ridhiwani na wadogo zake waandamane ndo JK ajue kimenuka?UDSM kuna siasa chafu ndo maana viongozi wake hupatikana kwa mizengwe...mara GPA ndogo ati ana mkono wa chama .....mara wanaharakati feki....solidarity forever unganeni mkomboe wenzenu serikali haina maskio tena.mabomu hayatoshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.