trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Gongo yenyewe na mirungi wakichukua wanaenda kuuza tena kwa bei chee! Kuna mtu alishaniambia huwezi kuwa na rafiki polisi, lazma akuchome siku japo kwa wenzie! Naamini kwa dhati sasa!
umenikumbusha askari fulani wawili walikuwa wana kawaida ya kunywa gongo kwa bibi fulani... Siku moja askari[si wale wateja wake] walikuja kumkamata yule bibi akawahonga 20,000 wakamwachia. Baada ya muda wale askari wateja wa yule mama walifika.Bibi akawaambia yaliyomkuta. Baada ya siku 2 au tatu ilikuja kugundulika kuwa wale askari wateja wa gongo waliwatuma wenzao kwa kuwa siku hiyo hawakuwa na hela ya kunywea!