Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
- Thread starter
- #41
j.k aliposema wanafunzi wanapata mimba kwa viherehere vyao.
j.k aliposema wanafunzi wanapata mimba kwa viherehere vyao.
Mi nakumbuka 1.AJALI YA MELI KULE ZENJ, 2.MAUAJI YA RAIA KULE KWENYE MGODI NYAMONGO 3. POLISI WALIUA RAIA WALIOKUA WANADAI HAKI YAO ARUSHA 4. J.K KUSAIN MSWADA WA KATIBA 5.........6..........7.............
umenifanya nitokwe tena na machozi kwa sababu ajali hiyo ndiyo iliyakatisha maisha ya mama yangu mdogo mpendwa Naomi.Ajali ya ubungo na ile nyingine kimara la loli la mafuta ilipo ilalia daladala
pole sana mpendwaumenifanya nitokwe tena na machozi kwa sababu ajali hiyo ndiyo iliyakatisha maisha ya mama yangu mdogo mpendwa naomi. Pumzika kwa amani mama mdogo.
Inaonyesha mengi ya kusikitisha na kutatanisha yametokea wakati wa JkSukari kupanda bei mpaka kufikia 5000 baadhi ya maeneo tanganyika na ku2rudisha kipind kilee cha maduka ya ushirika.Kama arusha mpaka hii leo sukari inauzwa kwa mwenyekit.
2-Mauaji ya raia(machinga) mbeya.
3-****** kusain mswaada wa uundaji wa katiba
nakumbuka sana mnamo october 2010 ccm iliposhika madaraka kwa awamu ya pili