Mtoto wa Kigogo Serikalini ahusishwa na mgomo wa uuzaji wa Mafuta

Niliskia moja ya mkopo benki, mkuu wa kitengo aliwaambia waliopo chini yake kuwa wampe mkopo ila wahakikishe kabla ya 2015 deni liwe limeshaisha. nahisi 2015 kutatokea kaazimio ka darisalama ka kutaifisha miradi yote
 
Kwa kweli hiki kitendo kimeeniumiza sana...leo nimeingia kituo cha Engen mida ya saa nne mkoa wa Arusha..kukiwa na foleni kubwa ya pikipiki..nikaa kwenye foleni..nikapata mafuta baada ya foleni ndefu..ila cha kusikitisha ni bei wanayouza mafuta..Kwenye bango imeandikwa bei ya Petrol 1966Tsh per lt..lakini kwenye pump bei wanayochaji ni 2074tsh per lt..nimejaribu kuwauliza wakaniambia ni bei waliyopangiwa na boss wao..nilikasirika nikaishia kuwaambia ipo siku...nchi yetu itakuja kuwa na viongozi wanaowajali wananchi wake..
 
...wadanganyika ukiwajua hutawashangaa wanasubiri wanyang'anywe wake zao labda wataamka.
 
Kwa kweli hiki kitendo kimeeniumiza sana...leo nimeingia kituo cha Engen mida ya saa nne mkoa wa Arusha..kukiwa na foleni kubwa ya pikipiki..nikaa kwenye foleni..nikapata mafuta baada ya foleni ndefu..ila cha kusikitisha ni bei wanayouza mafuta..Kwenye bango imeandikwa bei ya Petrol 1966Tsh per lt..lakini kwenye pump bei wanayochaji ni 2074tsh per lt..nimejaribu kuwauliza wakaniambia ni bei waliyopangiwa na boss wao..nilikasirika nikaishia kuwaambia ipo siku...nchi yetu itakuja kuwa na viongozi wanaowajali wananchi wake..

Endeleeni kuwa wavumilivu na mdumishe upole na amani katika nchi hii ya wapole na wanyenyekevu. Igeni mfano wa wana Igunga
 
Hawapati faida kama zamani, hiyo ndiyo sababu...... mengine ni majungu tu.
 
Shida yetu ni maneno mengi pasipo kuchukua hatua. Ifike mahali tuanze kuchukua hatua maana bila hivyo hatuendi kokote!

utackia mtu oooh hafadhari muda wake uishe atoke teh teh .Cku mpoki wa ZE KOMEDY 2015 akichukua fomu za kugombea urais atashinda na elimu yake la leo ,ukiwauliza kwa nin m'memchagua Mpoki naamini 2tasema jamaa Maarufu ! ......nzi tupu
 
Huyo mtoto wa kigogo ni nani? Tanzania Daima mbona hiyo taarifa haina mashiko! Ndiyo jinsi hali ilivyo sasa tuna kila haki ya kulalamikia ugumu wa maisha. Lakini rai yangu ni kuwa tusije kuwa wanafki kwa kujitungia mambo.
 
Pororjo nyiiiiiiiiiiiiingi!, si museme tu kuwa ikulu inamkono kwenye kampuni kubwa za mafuta! Huo ndio ukweli, haya mengine yooooote ni kumuogopa adui yako na kuanza kumpamba.
 
Back
Top Bottom