hodi humu ndani mm ni mfugaji wa kuku wa kienyeji kusema kweli wanafaida sana nilianza na kuku mmoja sasa ivi nina kuku 150 kwa ss nimestop kutotolesha nauza mayai trey kwa jumla nikimaanisha kwanzia trey 4 elfu12 trey 1 elfu 15 pia nauza majogoo sh.20000 kuku wangu ni wakubwa sana jogoo mmoja...
Yuko Sawa ningekuwa mm ni kichapo hadi majogoo kwan kama ni rafiki mwema kwann akate cm na ni kwwnn usité kujibu ? Acha mama afanye kazi yake. Safiiiii........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.