Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

kuna wengine ving'ang'anizi usiombe.pamoja na hizo zote hapo juu habanduki...anasubiri aambiwe baby its over!!

inategemea labda kwako alinogewa sana atabandukaje?kila akikukumbuka anadata!
 
Muda mwingine unapimwa kama una mapenzi ya dhati,jinsi usivyo kata tamaa upesi na yeye ndo anarudisha moyo nyuma.
 
Hahahaa, hiyo nayo kali jamani. Na je ukimtumia vocha, anajibu asante lakini ukikaa kimya hakupigii hadi vocha inaisha na unatumiwa please recharge me! Hahahaa
 
Kuna ukwel japo sio kw kila mtu. Kuna watu wana hulka y kutopiga cm au kuandik sms mar kw mar,watu hawa hupiga cm mar chache sana kw wiki,ila wanawapenda sana wenzi wao. Na weng wao huwa wanaume. Tafiti zinaonyesha wanawake wako busy sana na sim kuliko wanaume,ndo mana weng wao huwa wanaona hawapendw au wamechokwa,ila sio kwel. Wanaume wanaongoz kw kupuuzia sms na col wakiwa kazin,lkin mdada anaweza acha kumhudumia mteja ili achat kwnz na bwanake. Na mara nying huwa hawana jambo la maana sana la kuongea,mara umekula nn,umevaa nn leo,vipi jana ulijiskiaje nlivyokuja kwako,utatoka saa ngapi. Yan vitu rahis rahis. Anyway ndo nature yao. Kesi kama hizo vidume tushazizoea.
 
Mjifunze kutulia jaman ili Mungu awaletee wake au waume wema lasivyo mtaishia kuambulia vibutii daily!!
 
Kichwa cha habari kingepaswa kuwa : DALILI TANO ZA KUCHOKWA NA MPENZI WAKO.
 
Kuna ukwel japo sio kw kila mtu. Kuna watu wana hulka y kutopiga cm au kuandik sms mar kw mar,watu hawa hupiga cm mar chache sana kw wiki,ila wanawapenda sana wenzi wao. Na weng wao huwa wanaume. Tafiti zinaonyesha wanawake wako busy sana na sim kuliko wanaume,ndo mana weng wao huwa wanaona hawapendw au wamechokwa,ila sio kwel. Wanaume wanaongoz kw kupuuzia sms na col wakiwa kazin,lkin mdada anaweza acha kumhudumia mteja ili achat kwnz na bwanake. Na mara nying huwa hawana jambo la maana sana la kuongea,mara umekula nn,umevaa nn leo,vipi jana ulijiskiaje nlivyokuja kwako,utatoka saa ngapi. Yan vitu rahis rahis. Anyway ndo nature yao. Kesi kama hizo vidume tushazizoea.

sawa mmezizoea lakini hizo tabia zinapunguza sana mapenzi kwa mwanamke, mimi nikikulalamikia kama miezi miwili na haubadiliki cha kwanza nahisi hunipendi ila nakupenda mimi tu cha pili ntaanza kuwa busy na mambo mengine ili nisikuwazie kabisa, maana hata nikikujali utanidisappoint tu, cha tatu naanza kuconcentrate na issue zingine, naanza kukusahau sahau nikija kwako nataka unisugue baaas, sitajali hisia zako hataaa maana wewe mwenyewe hujali,
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.

The best and perfect way to treat a nagging woman
 
Back
Top Bottom