Partey ameituliza team kwa kias kikubwa mpaka sasa..naamin tungekuwa kwenye mudi nyingine kama sio kosa la Gabriel..bila shaka tumecheza vzur..tuongeze umakin tutapata points 3
Kama ilivyo kuwa ngumu kupata mchezaji mzur wakat wa January kwa Arsenal ndivyo ambavyo ingekuwa ngumu kuuza wachezaj hao ambao wameondoshwa kikosin..kwa Arsenal kuuza wachezaj wetu wabovu kwenye dirisha kubwa la usajili ingekuwa ngumu sana kumbuka wakat wa dilisha kubwa wachezaj wengi wazur...
Huhitaji kuwa na akir za ngumu kutafsr yanayotokea huko,yale unayoyaona huko ni mjumuiko wa kawaida tu usiohusiana na mambo ya mungu wewe,uwe na fikra endelevu,kwan hujui ubaguz wa rangi bado upo Marekan??tukio lile limeigadhabisha jamii yote yenye kupenda usawa kwa binadam wote,ili kulipa uzito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.