Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna uwezekano mkubwa wa arsenal kuwa wamempa mkataba Jack Wilshere. Ikiwa wamempa mkataba ni je atatusaidia? Wilshere ni mchezaji mwenye mapenzi makubwa sana na arsenal na kipindi anaondoka alikuwa yuko tayari kupunguza mshahara wake ili aendelee kubaki arseanal ila hakuwa kwenye mipango ya coach Unai
 
Watu wanaolazimisha usajili wa January nadhani somo la fedha na uchumi liliwapita pembeni.
Ukilijua Somo la Uchumi, basi usiuze pia ulichonacho ili usiwe Dhaifu.

Sisi tumebomoa team January na Somo la Uchumi tumelishika hasa kw Soko la January, sasa Tushikulie na kuzibana nanii zetu msimu tuvuke salama huu, pacha ya Partey moja tu na Red ya Kalamashaka tutapigana kuepuka Kushuka Daraja bila kutarajia.
 
Kuna uwezekano mkubwa wa arsenal kuwa wamempa mkataba Jack Wilshere. Ikiwa wamempa mkataba ni je atatusaidia? Wilshere ni mchezaji mwenye mapenzi makubwa sana na arsenal na kipindi anaondoka alikuwa yuko tayari kupunguza mshahara wake ili aendelee kubaki arseanal ila hakuwa kwenye mipango ya coach Unai
Kw aHalibya Sasa it will be a smart move kuifanya, hatuna namna na i hope atatusaidia sana.
 
Arsenal didn't activate Alexander Isak's release clause because they thought it was above his market value.

He doesn't worth 50m, Moreno and Schick can never cost more than 50m so why buying a player that is not that experienced for 75m that's a great criminal offence

I wonder the hype around this guy. He isn't worth that amount plus he isn't a proper striker. What we need is a 9. Who can guarantee us atleast 20goals per season🤝

I Don't know what our fanbase see in him that they were crying to the board to activate his release clause he isn't even better than martinelli and martinelli's market value is only £28 mill😑😑🙄
 
Arsenal didn't activate Alexander Isak's release clause because they thought it was above his market value.

He doesn't worth 50m, Moreno and Schick can never cost more than 50m so why buying a player that is not that experienced for 75m that's a great criminal offence

I wonder the hype around this guy. He isn't worth that amount plus he isn't a proper striker. What we need is a 9. Who can guarantee us atleast 20goals per season

I Don't know what our fanbase see in him that they were crying to the board to activate his release clause he isn't even better than martinelli and martinelli's market value is only £28 mill
Sawa gharama yake haifiki 75M lakini ni mchezaji mzuri sana.
 
Arsenal Top 4 tunamaliza. Sababu zipo nyingi kubwa ni kua timu nyingi zimefanya Sawa usajili na ukiangalia hadi waje wapate muunganiko mzuri kiuchezaji sio Leo wala kesho. Barcelona hata Man city wamewahi kucheza vizuri tu bila kua na striker kamili na wakatoboa Sasa hata kwetu inawezekana. Amini kwamba msimu ujao tutakua Washindani wa EPL
 
Nina mashaka Makubwa ya Kuipata hiyo nafasi. We are only one injury away from collapsing, (Partey) Red card ya Xhaka na GM kitu ambacho in the next 17 Games. Na hii inaweza lutufanya tukamaliza nnje ya nane bora za Kucheza Conference Cup
 
Screenshot_2022-02-04-08-45-08-23.jpg
 
Arsenal Top 4 tunamaliza. Sababu zipo nyingi kubwa ni kua timu nyingi zimefanya Sawa usajili na ukiangalia hadi waje wapate muunganiko mzuri kiuchezaji sio Leo wala kesho. Barcelona hata Man city wamewahi kucheza vizuri tu bila kua na striker kamili na wakatoboa Sasa hata kwetu inawezekana. Amini kwamba msimu ujao tutakua Washindani wa EPL
Kuwa shabiki wa arsenal lazima uwe mbumbumbu tu ...
 
Ukilijua Somo la Uchumi, basi usiuze pia ulichonacho ili usiwe Dhaifu.

Sisi tumebomoa team January na Somo la Uchumi tumelishika hasa kw Soko la January, sasa Tushikulie na kuzibana nanii zetu msimu tuvuke salama huu, pacha ya Partey moja tu na Red ya Kalamashaka tutapigana kuepuka Kushuka Daraja bila kutarajia.
Umebomoa timu kwa kuuza deadwoods Mari ,Chambers, Sead?
 
Hii comment nimeiona somewhere

"Yes if Arteta manages to finish 4th with this squad then Man City will poach him to replace Pep, that's why I prefer Arsenal finish 8th so that we can keep Arteta forever."
 
Umebomoa timu kwa kuuza deadwoods Mari ,Chambers, Sead?
Umevakina first eleven wakiumia unaingiza academy!? Kukosa watu bench ndo lubomoa team mzee.

Tubane naniliu zetu pale kwa Mashaka na Partey pasitokee injury wala kadi nyekundu ambayo Mashaka ana mahusiano nayo mema sana.
 
Umevakina first eleven wakiumia unaingiza academy!? Kukosa watu bench ndo lubomoa team mzee.

Tubane naniliu zetu pale kwa Mashaka na Partey pasitokee injury wala kadi nyekundu ambayo Mashaka ana mahusiano nayo mema sana.
Sasa mkuu ni lni sead alicheza au lini Mari alicheza? wote machaguo ya tatu hata Niles & chambers ni vilevile, Arsenal wapo sawa sioni walipokosea this window.
 
Sasa mkuu ni lni sead alicheza au lini Mari alicheza? wote machaguo ya tatu hata Niles & chambers ni vilevile, Arsenal wapo sawa sioni walipokosea this window.
Sikupingi Mzee ila tuombe hizi match 17= tuvuke salama
 
Timu ambayo inaelekea kujifia ni Arsenal up to now katika players wote waliondoka hakuna aliyeingizia pesa timu ya Arsenal mpaka Auba kaondoka free? Big team players wake hawanunuliki?that's ridiculous
 
Timu ambayo inaelekea kujifia ni Arsenal up to now katika players wote waliondoka hakuna aliyeingizia pesa timu ya Arsenal mpaka Auba kaondoka free? Big team players wake hawanunuliki?that's ridiculous
Kujifia?
Sio Majimaji ya Songea hiyo.
 
Timu ambayo inaelekea kujifia ni Arsenal up to now katika players wote waliondoka hakuna aliyeingizia pesa timu ya Arsenal mpaka Auba kaondoka free? Big team players wake hawanunuliki?that's ridiculous

Kama ilivyo kuwa ngumu kupata mchezaji mzur wakat wa January kwa Arsenal ndivyo ambavyo ingekuwa ngumu kuuza wachezaj hao ambao wameondoshwa kikosin..kwa Arsenal kuuza wachezaj wetu wabovu kwenye dirisha kubwa la usajili ingekuwa ngumu sana kumbuka wakat wa dilisha kubwa wachezaj wengi wazur wanauziKa na hapo soko la wachezaj wetu walioondoka wangekosa soko…KUANZA UPYA SIO MBAYA
 
Kama ilivyo kuwa ngumu kupata mchezaji mzur wakat wa January kwa Arsenal ndivyo ambavyo ingekuwa ngumu kuuza wachezaj hao ambao wameondoshwa kikosin..kwa Arsenal kuuza wachezaj wetu wabovu kwenye dirisha kubwa la usajili ingekuwa ngumu sana kumbuka wakat wa dilisha kubwa wachezaj wengi wazur wanauziKa na hapo soko la wachezaj wetu walioondoka wangekosa soko…KUANZA UPYA SIO MBAYA
Arteta anaibadilisha timu kuondoa culture ya kusajili wachezaji soft wasioweza kuwin duels ( Ozil & Auba) anasajili wachezaji wenye Amazing physicality Tomiyasu, Gabriel, White, Partey, Tavares..
Ps: Auba & Ozil hawakuwa wachezaji wabaya, Arsenal imebadilika.
 
Back
Top Bottom