Ndo tatizo la watoto wa chuo, mkifika chuo tu mnajiona watu wazima na kukurupukia mambo, alitakiwa afikirie hayo yote kabla ya kubeba hiyo mimba. Akiamua kuitoa kuna matatu, Moja ni kifo, mbili ni ugumba baadae tatu anaweza kubahatika kuepuka hayo mawili hapo juu japo there's a very slim chance...