miongoni mwa walio bora kwa sasa na hapo waweza kumpata private na accomodation ni nzuri tu gharama inarange kwenye 400,000 - 500,000/- kwa siku kama tatu kila kitu.Muhimbili kwa Dr Kamugisha..............Jitahidi uwe na kama laki 6 hivi!!!!!!!!!!!!hongera
hivi ukisema ndipo akili zinakuwa sawa kwenye red unamaanisha nini? Hii ndio njia aliyoiumba Mungu na anajua inaleta kilichokusudiwa. Yaani ni sawa na kusema kula kwa mdomo kunaumiza taya hivyo tule kwa mipira au kuwekewa drips!wife ametoka kujifungua siku 2 zilizopita pale agakhani,gharama yake ni 2,814,500/= kama hakutakuwa na complications nyingine zaid ya OP.Wataalamu wanasema njia salama ya kujifungua ni CS kwakuwa motto natolewa bila misukosuko yoyote so hata brain zao zinakuwa safe na wanakuwa bright sana ukilinganisha na wale ambao huwa wanajifungua kwa njia za kawaida zile pilika pilika za kuvuta,mara sukuma mototo wanasema zina distrurb brain za watoto,lakini pia utaendelea kufaidi tunda lako katika hali ile ile UKIFIKA MUONE Dr.CHANJI NI BONGE LA Dr.
kama mkeo anaweza kujifungua kawaida, itakuwa vyema na mwache mamsapu ajifungue.
Mie ntapenda kabisa mheshimiwa awe golini kabisa au ani-massage mabega wakati napush..
miongoni mwa walio bora kwa sasa na hapo waweza kumpata private na accomodation ni nzuri tu gharama inarange kwenye 400,000 - 500,000/- kwa siku kama tatu kila kitu.
Jaribu hospitali ya mico sinza makaburini, Dr. Mnyau, ni daktari bingwa wa wanawake pale lugalo, gharama zake haizidi laki 3... na ni pazuri.
kairuki mikocheni,tena km unabima ya afya mambo mteremko tu.mtafute sister Agatha utafurahi hashoni mauzi anatia gundi
mkuu umenena vyema sana.Acha kupotosha uma , we ulizaliwa kwa njia hiyo !!
wangapi wamezaliwa kwa njia ya kawaida na wako so bright ??
huo uzungu wenu utawafikisha pabaya !!!
Imeandikwa mwanamke atazaa kwa uchungu senzii !!!
kabla ya kuingia baharini kuoga inabidi upime kina cha maji,na ndio maana kuna regency,agakhan,TMJ,Muhimbili,Mwananyamala kwa wezi wa watoto,amana kwa mabingwa wa kuua vichanga n.k sio lazima watu wote wajazane aghakan mkuu!Agakhan wezi ,its actually a 5 star hotel not a hospital its 2.5 mil for CS operation and that is ridiculous:A S-fire1:
hili nalo neno we bado unajua wazungu wanaakili??mifumo ya ufundishaji ndo kikwazo kwetu,na pia wenzetu wamewahi kulion jua tu nothing more,aliyekwambia wajapani,wahindi,wachina na wengineo wanaakili kushinda ngozi nyeusi ni nani??jitmbue na uache kukurupuka bila kuwa na facts za kutosha,nenda ka google advantaje za CS utaona,hakuna anayependa kisu but kila kitu kina (-ve) na (+ve) jiulize kwa nini wanawake wengi siku hizi ni CS je huwa wanalazimishwa kule hosp or what??hivi ukisema ndipo akili zinakuwa sawa kwenye red unamaanisha nini? Hii ndio njia aliyoiumba Mungu na anajua inaleta kilichokusudiwa. Yaani ni sawa na kusema kula kwa mdomo kunaumiza taya hivyo tule kwa mipira au kuwekewa drips!
Lakini pia unataka kusema Waisrael, Wazungu, Wajapan, Wachaga, Wahaya, wachina (natania) wote walizaliwa kwa operation?
Hapo kwenye bluu inaelekea ni kiasi gani wabongo tunawaza ngono kihasi cha kuwa tayari kupingana hata na uumbaji wa Mungu mwenyewe!
Hivi naomba kuuliza hivi pia hii tabia ya maospitali mengi ya Private kufanya Operation kwa kina mama kwanini?mbona Government Hospital wengi huzaa kawaida?Caesarean section (CS) ndiyo njia salama siku hizi maana waknamama wengi wameonekana kuwa na matatizo na hawajitumi kusukuma wakati wa kujifungua. Hili ni jawabu muwahishe mwenzako hapo Mikocheni au Agakhan, Muhimbiri watu wengi na bei zake siyo mbaya ukitumia 500,000/= Mimi nina watoto 2 lakini hatukuwahi kupigwa kisu (CS) lakini inahitaji moyo wa subira.
Mkuu umechagua operation au unahisi atajifungua kwa operation?Wasalamu!!
Naoma kujulishwa range ya gharama za kujifungua kwa njia ya OP katika mahospital ya Rufaa, za kawaida na zile za private(hasahasa) na Kujulisha hospitali zipi ni nzuri kwa huduma hiyo, mara nyingi wife to be anapendelea kwenda pale Mount Ukombozi-Morocco bt sina uhakika kama pale kuna mabingwa wa OP...manake karibuni nitaanza majukumu.
My Regards MMU
Operation gharama zinaongezeka na private wako kibiashara zaidi.Hivi naomba kuuliza hivi pia hii tabia ya maospitali mengi ya Private kufanya Operation kwa kina mama kwanini?mbona Government Hospital wengi huzaa kawaida?
Of coz na gharama zake ningezijua ingekuwa pouwa sana
Hivi naomba kuuliza hivi pia hii tabia ya maospitali mengi ya Private kufanya Operation kwa kina mama kwanini?mbona Government Hospital wengi huzaa kawaida?