Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,297
- 21,699
Ilo tumbo tofauti na body yake, akija Ali gain zaidi itakuaje?
Watu wakiambiwa mambo ya bia na manyama choma eti maisha binafsi!!!!!!!!!
Mazoezi na kujali mwili ni muhim sana
usimdanganye mwenzio bana weeeeeee
Una hakika gani ni la bia na nyama? Kama la uzazi? Kwa jinsi linavyoonekana atakuwa ameshazaa huyo.
Una hakika gani ni la bia na nyama? Kama la uzazi? Kwa jinsi linavyoonekana atakuwa ameshazaa huyo.
ana watoto wawili,mtoto wa kwanza ana miaka 11,kamzaa akiwa na miaka 16..
Watu wakiambiwa mambo ya bia na manyama choma eti maisha binafsi!!!!!!!!!
Mazoezi na kujali mwili ni muhim sana
Mtumbo huo
Aiseee? Mjomba inaonyesha unamjua huyu mrembo!
tumbo limekaa kama matuta yani ukipanda maindi yanaota