Kuwa makini na mapenzi ya facebook

herrypeter1

JF-Expert Member
Jan 17, 2009
223
29
Ilikuwa ni katika kuchati chati FACEBOOK ndo nilipo weza kuwa connected na mdada mmoja jina Kapuni anayeishi kimanga,
Katika mawasiliano tukapeana namba mdada akaitaji tuonane, siku zikaenda nikaonana na mdada maeneo ya kimanga, stori yake Mwanzo ilikuwa ivi "Yupo anaishi na mama yake na mtoto mmoja ambaye anasema alitelekezwa na mwanaume".

Dada siku ya pili akataka kuja home kushinda, Nikampiga fix natoka Sipo home, Mara akanimbia anaomba kuniona ana shida na mimi kwenda anaanza kueleza mtoto wake yuko dodoma amepigiwa simu na mama yake kuwa mtoto wake yupo atarini na anaitaji nimsadie nauli aende akamfuate mtoto wake, uku akisahau kuwa aliniambia anaishi na mtoto wake na mama yake.

Mwisho wa siku Watu Wote Muwe Makini na Mapenzi ya FACEBOOK msije mkaleta Majambazi Majumbani Mwenu. Kwani naisi imeanza sasa kama kuwa ni mbinu kwa wezi.
 
Nimewahi kuishi na msichana mmoja kwa siku 2. Aliniambia ni yatima anafanya kazi za ndani na ananyanyasika sana huko. Na kwamba aliokotwa na sister wa kanisa katoliki. Nikapewa na simu niongee naye.

Kumbe ni mtoto wa geti kali, ana kichanga kinachonyonya amekiacha nyumbani. Na haya aliniambia mama yake mzazi na kuniambia nimbembeleze arudi nyumbani, la sivyo anakuja na polisi. Mmmh facebook!! Sina hamu kabisaa.
 
mm niliway kumpata hvohvo alniambia eti yupo anaysh na dada wke mama wke masaki, mama wke upo kilwa, akataka 2onane, haunabehaunabe 2kaonana fery posta.. Dah ckuamin cku ya pili antaka aje home alaf 2ende kw mama wke dah 2liway kwnda mala 1 kwa baat nxul nliway ktembea nae kalibu mala kadhaa hv bda kupima HIV kwnza. La haula kumbe dem alikua mke wa m2 tena ana watoto wawil yy na mume wke hazkuenda adi wakaachana hv na vle dm altaka aje home ndo mwnzo nlipokata mawaclian na ye
 
mm niliway kumpata hvohvo alniambia eti yupo anaysh na dada wke mama wke masaki, mama wke upo kilwa, akataka 2onane, haunabehaunabe 2kaonana fery posta.. Dah ckuamin cku ya pili antaka aje home alaf 2ende kw mama wke dah 2liway kwnda mala 1 kwa baat nxul nliway ktembea nae kalibu mala kadhaa hv bda kupima HIV kwnza. La haula kumbe dem alikua mke wa m2 tena ana watoto wawil yy na mume wke hazkuenda adi wakaachana hv na vle dm altaka aje home ndo mwnzo nlipokata mawaclian na ye

ungeandika vizuri ungepungukiwa nini...??
 
mm niliway kumpata hvohvo alniambia eti yupo anaysh na dada wke mama wke masaki, mama wke upo kilwa, akataka 2onane, haunabehaunabe 2kaonana fery posta.. Dah ckuamin cku ya pili antaka aje home alaf 2ende kw mama wke dah 2liway kwnda mala 1 kwa baat nxul nliway ktembea nae kalibu mala kadhaa hv bda kupima HIV kwnza. La haula kumbe dem alikua mke wa m2 tena ana watoto wawil yy na mume wke hazkuenda adi wakaachana hv na vle dm altaka aje home ndo mwnzo nlipokata mawaclian na ye

umeandika kifesibuku fesibuku......mistari wiwili ya mwanzo niliyosoma sijaelewa kitu....

sijasoma hadi mwisho
 
mm niliway kumpata hvohvo alniambia eti yupo anaysh na dada wke mama wke masaki, mama wke upo kilwa, akataka 2onane, haunabehaunabe 2kaonana fery posta.. Dah ckuamin cku ya pili antaka aje home alaf 2ende kw mama wke dah 2liway kwnda mala 1 kwa baat nxul nliway ktembea nae kalibu mala kadhaa hv bda kupima HIV kwnza. La haula kumbe dem alikua mke wa m2 tena ana watoto wawil yy na mume wke hazkuenda adi wakaachana hv na vle dm altaka aje home ndo mwnzo nlipokata mawaclian na ye
jitahidi kuandika vizuri mbona space ipo ya kutosha tu.
 
Ilikuwa ni katika kuchati chati FACEBOOK ndo nilipo weza kuwa connected na mdada mmoja jina Kapuni anayeishi kimanga,
Katika mawasiliano tukapeana namba mdada akaitaji tuonane, siku zikaenda nikaonana na mdada maeneo ya kimanga, stori yake Mwanzo ilikuwa ivi "Yupo anaishi na mama yake na mtoto mmoja ambaye anasema alitelekezwa na mwanaume".

Dada siku ya pili akataka kuja home kushinda, Nikampiga fix natoka Sipo home, Mara akanimbia anaomba kuniona ana shida na mimi kwenda anaanza kueleza mtoto wake yuko dodoma amepigiwa simu na mama yake kuwa mtoto wake yupo atarini na anaitaji nimsadie nauli aende akamfuate mtoto wake, uku akisahau kuwa aliniambia anaishi na mtoto wake na mama yake.

Mwisho wa siku Watu Wote Muwe Makini na Mapenzi ya FACEBOOK msije mkaleta Majambazi Majumbani Mwenu. Kwani naisi imeanza sasa kama kuwa ni mbinu kwa wezi.

Ulikuwa hujui kama kwenye mitandao siyo shm ya kutafutia wapenzi?
 
Men you a very cheap!!!
yan kuthibitisha hili kuwa na fake account fb weka profile picture ya mrembo tena akiwa na wowowo wanafata kama nzi...inbox hata watu usiowadhani punguzen uhuni na kujirahisisha hvo
 
maden wa fb wako poa tu--mi nshawahi kuahidiana na mademu 2 hapo nyuma, walikuwa wanakuja hadi getto nagonga sana tu baadaye tumepotezeana kiana baada ya kuwapata wazuri na wanaojituma zaidi yao. mademu wa fb wako pouwaaa tu wala msiwa-criticize---nyie tu hamjui kuwatumia vizuri.
 
mm niliway kumpata hvohvo alniambia eti yupo anaysh na dada wke mama wke masaki, mama wke upo kilwa, akataka 2onane, haunabehaunabe 2kaonana fery posta.. Dah ckuamin cku ya pili antaka aje home alaf 2ende kw mama wke dah 2liway kwnda mala 1 kwa baat nxul nliway ktembea nae kalibu mala kadhaa hv bda Gkupima HIV kwnza. La haula kumbe dem alikua mke wa m2 tena ana watoto wawil yy na mume wke hazkuenda adi wakaachana hv na vle dm altaka aje home ndo mwnzo nlipokata mawaclian na ye[/QUOT
umenikera kweli.hicho ni kifupi au ni lugha nyingine.
idiot...
 
Men you a very cheap!!!
yan kuthibitisha hili kuwa na fake account fb weka profile picture ya mrembo tena akiwa na wowowo wanafata kama nzi...inbox hata watu usiowadhani punguzen uhuni na kujirahisisha hvo

MENS ARE NOT CHEAP........Kuna njia njingi za kukutana na watu barabarani, disco, kwenye event... Tatizo kila mtu ana AIM yake anapocreate account fb ..... Kwa mwanamke kupata wanawake wengi that does not bring the men to be cheap ata.....
 
Back
Top Bottom