Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
Natumaini mu wazima wana MMU wenzangu.!
story iko hivi mimi nina rafiki nyangu kipenzi sana yapata miaka sita sasa tupo marafiki
Rafiki yangu huyo mnamo mwaka jana alitokea kumpenda binti mmoja ambaye zamani enzi za utotoni tuliishi jirani sana na binti huyo ila tokea hapo hajawahi kuniona tena
siku moja mimi na rafiki yangu huyo tulikuwa katika matembezi ya kawaida akaniomba simu yangu ili awasiliane na huyo binti ambae ndo alikua ameanza kumtongoza lakini alipompigia simu hakupokea tulipoachana yule binti akawa amenibip nikampigia na kuniuliza hii ndo namba yako nikasema ndio kuanzia hapo hadi sasa tunachati kama wapenzi yapata mwaka mmoja na nusu sasa ila sijawahi kumwambia ukweli kuwa mimi ndo yule rafiki yake na mpenzi wako na nimeshaweka ahadi ya kumwoa
NAOMBENI ushauri niko njia panda je nimwambie ukweli halisi au nisubiri kumfanyia kama suprise tutakapopanga kukutana?
nawasilisha.!
story iko hivi mimi nina rafiki nyangu kipenzi sana yapata miaka sita sasa tupo marafiki
Rafiki yangu huyo mnamo mwaka jana alitokea kumpenda binti mmoja ambaye zamani enzi za utotoni tuliishi jirani sana na binti huyo ila tokea hapo hajawahi kuniona tena
siku moja mimi na rafiki yangu huyo tulikuwa katika matembezi ya kawaida akaniomba simu yangu ili awasiliane na huyo binti ambae ndo alikua ameanza kumtongoza lakini alipompigia simu hakupokea tulipoachana yule binti akawa amenibip nikampigia na kuniuliza hii ndo namba yako nikasema ndio kuanzia hapo hadi sasa tunachati kama wapenzi yapata mwaka mmoja na nusu sasa ila sijawahi kumwambia ukweli kuwa mimi ndo yule rafiki yake na mpenzi wako na nimeshaweka ahadi ya kumwoa
NAOMBENI ushauri niko njia panda je nimwambie ukweli halisi au nisubiri kumfanyia kama suprise tutakapopanga kukutana?
nawasilisha.!