mie sihitaji jina lako ndo maana nikasema ktk uislam coz ktk uislam hakuna cheo kinachoitwa mwanau kweli ambacho ndo kinamruhusu muislam kuwa msemaji wa wengine sasa nadhani utakuwa umeelewa nachomaanisha haya nambie we ni nani ktk dini ya kiislamu hadi umekua msemaji waoo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.