mapigo ya moyo
Member
- Jun 9, 2013
- 24
- 1
mamaaaa confusing..............
yaani hizi simu za tecno(N3,P3,L3,Q1,N7,M7,F7(PHANTOM A)),kwa hasiyependa maujiko yasio na msingi(ooo mimi situmii simu ya mchina,sijui ya mchina feki),tecno hizo ni mpango mzima unatumia mitandao yote ya kijamii unayoijua,vitabu vya pdf na word documents,yanini ucomplicate maisha?,wabongo bana.
sijui unamaanisha nn unaposema hutumii mchina, kwa taarifa yako tecno ni mchina no1
ninatumia tecno h6.....napata apps za muhimu na nimeiroot pia....
Naitumia hiii only because bado sijapanga mambo sawa nihamie kwa either s5 au note 4...
Tunaotumia tecno devices tuache ubishi jamani tusijilinganishe na zle samsung ambazo ni high ends device kama s4 au s5...
Hio phantom ni nzuri ndio wamejitahidi kwa camera pia ila bado ram ni 1gb what a heck???
Yaani hapa navuta kasi tu nimuhame tecno niendelee na samsung.
Kuna jamaa yangu huwa anasema "acheni ubishi wa ngomani"
Tecno hamna Original wala nini, Tecno ni simu ambazo zinatengezwa kwa vifaa duni tofauti na Huawei, Samsung n.k
karibu samsung mkuu
natumia tecno H6 naenjoy kwa kweli but siwezi ifananisha na Samsung aisee..Samsung level njingine tunatumia hizi kwa sababu za low cost.. najichanga angalau nipate hata s4, watu wanakimbizana na s6 edge hukoo..wanaosema TECNO ni sawa na Samsung, tuulize jee zingekuwa na bei sawa bado tungechagua TECNO? wengi tumeangukia tecno kwa kuwa ndio kimbilio letu..bei rahisi..