Ubishi mtaani kuhusu tecno mobile

Ubishi mtaani kuhusu tecno mobile

Ukishangaa ya smartphone za tecno utaona smartphone za african jumbo (Ajo) wapo mjini na wanafanya poa mjin kwa sasa
 
mkuu tecno sio fake ni low quality phones.

simu fake ni ipi na low quality ni ipi?

fake ni ile ambayo inapromise kitu ambacho haina. mfano umeandikiwa icon ya wifi then ukiclick ni bluetooth, ina app ya fb ukiclick wanakupeleka kwenye browser ya kichina, imeandikwa kwenye box ni hd wakati kioo ni 128x128

tecno ni low quality vitu vyote inavyo wifi, 3g, android na kila kitu sema vipo vya low quality. mfano kwenye simu zake wanatumia vioo vya tft ambavyo havina gorila glass (vioo vigumu). wanatumia resolution ndogo (240x320, 320x480) processor ndogo, ram ndogo.

hope umeelewa
wakati nasoma kuhusu counterfeight products, they include, substandard products, products that manufactured in another factory claiming that it's original...

kwa hiyo kama michina mingine tecno ni fake pia. angalia simu za zte, huawei, htc(hongkong) na wachina wengine kama vifaa vyao ni acceptable mpaka soko la ulaya na marekani
 
Fake zote ni low quality lakini siyo low quality zote ni fake.simu za mchina zenye kiwango ni HTC na huawei
Zikifuatiwa na tecno na zte

Zte kamzidi tecno paref sanaaaaaaaa... Tecno ametumia os ngapi zaid ya open souce?? Hawez lipia yule... Mwenzao windows, android, firefox.... Usifananishe v2 kimazoea
 
Tecno,gtide,dorado,donod,ajo,bird, hizi simu sio org ni simu za kawaida na haziko kwenye kiwango cha kimataifa ili ziweze kuingizwa kwenye ubora, zinapiga kazi vizuri sana, kipindi cha nyuma kabla bird hawajafilisika walikua wanaongoza, sasa wametawanyika wameunda makampuni mengine ikiwemo na gtide. Mara nyingi china kampuni huwa haziendelei sana kwakua wachina ni watu wenye tamaa sana ila kitu cha kufurahisha kwa hawa tecno hii kampuni inaendeshwa na muingereza ndio tukaona angalau sasa imedumu kwa miaka kadhaa.
 
Tecno kama brand ni brand maarufu duniani ikiwa na makao makuu Hongkong sasa ufeki hata Apple kuna feki

Mfiachhi tecno soko lake zaid liko afrika tuu pale dubai huikuti hata ya kutengenezea dawa, na hili limetokea kwasababu, kuna msomali yupo kenya yeye ndo anepokea order yote kutoka kiwandani mojakwamoja ameekeza pesa nyingi sana.
 
Tecno kwanza hawana program hata moja ambayo wameizalisha wenyewe kama tecno bila ya kuiga kutoka simu nyengine na hii ndio inapelekea kukosa kueleweka kwenye viwango vya kimataifa.
 
Kwa hyo android hebu njuze kuwa je ma2mz ya kawaida 2 znafaa ama vp pia hawa majamaa mawacliano yao yanapatkana wapi mkuu
 
Hapa nnapoandika natumia Tecno N 7. Imetulia hadi rahaaa.....
 
Kwa hyo android hebu njuze kuwa je ma2mz ya kawaida 2 znafaa ama vp pia hawa majamaa mawacliano yao yanapatkana wapi mkuu

Kilang tecno ni nzuri sana kwa mawasiliano na kwa huduma zetu hizi zilizoingia saiv hapa kwetu, hakuna matumizi makubwa ya kuweza kutofautisha sana baina yako ww mwenye tecno P3 au L3 na mwenye galaxy 7562.
 
Mkuu tofauti ya spec. uliyoiweka hapa ni ndogo sana ukilinganisha na tofauti ya bei. Hapa Mwanza hiyo S4 yako inauzwa 1,400,000/=, Utaona hapo kuna tofauti ya karibia milioni moja nzima. Na kama tofauti ndio hizo ulizoorodhesha hapo Bora nichukue Phantom zangu Tatu kwa hiyo 1,400,000/= ambayo ningepata S4 moja. Hizo mbili nitawapa hata madogo zangu walioko chuoni.


tofauti Ipo Sana Mkuu!! Kwan Simu kama S4 ni kuingia instagram na tango tuu?? Nakupa Tofauti Chache

1. Camera Yako haina Ubora kama s4 au s3. Hata s2 kakuzidi

2. Mwenzako Wa S4 ana LTE network [usijitete bongo hamna LTE] ww una 3g tuu

3. Ana Super AMOLED capacitive touchscreen inayokua protected na Corning Gorilla Glass 3 ila ww una Tft screen usipo ilinda vizuri ifweeeee

4. OS Android OS, v4.2.2 (Jelly Bean) Ww una 4.1 jelly Bean [na sidhani kama Wataleta Updates ila Hii Samsung Am sure itazidi kupata updates na huwa inakua moja ya Device za mwazo kupata updates

5. Capacity Ya Betry Yako ni (2100mAh) S4 ana 2600 mAh [japo Sio Tatizo sana maana unaweza badilisha]

6. Processor Yako ni CPU frequency : 1.0 GHz Dual Core CPU : MT6577H [ very cheap Processor ] mwenzako wa s4 ana Quad-core 1.6 GHz Cortex-A15 & quad-core 1.2 GHz Cortex-A7 [very Expensive Pprocessor]

7. Ram Yako Ni 1 gb Internal Memory Ni 4gb Na Unaweza Ongeza Mpaka 32 Gb Yeye Wa Samsung Ana Chagua Kati Ya 16/32/au 64 Kutokana na uwezo wake pia Ram Yake ni 2gb Na anaweza Kuongeza Memory card Mpaka 64 Gb

hapo sijagusia Sensors Na Vitu Vya Adition Kama Gestures... af Ukiangalia Katika Website Ya Tecno V2 Vya Adition Wameweka opera, Facebook, Google Map Na Play store.. kwan Kuna
 
Techo ni mkombozi wa walala hoi kuonja flava za simu za ukweli

Kama wewe ni mtumiaji wa simu wa kawaida kabisa tecno mpango mzima
 
Hapa natumia tecno f7A+ raha tupu...sons wasi wasi kabisa.
 
nokia mkuu ila nampango wa kuhamia android sasa hapaa mh..

Aha ahaa kwa Hui techno phantom A+ inakidhi mahitaji yangu na bomba sana.machina kashawavuruga nokia ni niliidharau sana Luna ndugu yangu kaniletea aisee sija amino kama ndio machina kafanya mambo haya
 
Back
Top Bottom