Ni mda sasa umepita takribani miaka kama 7 tangu nianze kuiota ndoto hii.Usiku wa manane kabisa kuna ndoto huwa inanisumbuwa mara kwa mara.Ndoto yenyewe iko hivi huwa najikuta natembea peke yangu njiani na kuna sehemu nafika nakuta kuna njia mbili moja hinaenda kushoto nyingine kulia na mara...
Ndugu wana jf ninajitokeza kwenu nikiwa nafahamu mchango wenu wa mawazo.Leo hii nakuna na tatizo la kiafya,tatizo langu ni kuhusu kufika kileleni mapema ninapokutana na mwanake.Kiufupi hali imeninyima sana raha na kusababisha niwachukie wanawake wengi mno.Kila ninapokutana na mwanamke...
Ndugu wana jf natoa shukrani zangu kwa walioanzisha huu mtandao wa jf. Shukrani zaidi ziende kwa wanajamii forums wote, nimefaidika kwa mengi niliyokuwa nayajuwa na nisiyokuwa nayajuwa.
Siwezi kupitisha hata siku moja bila kuingia jf imekuwa ikiniliwaza pale ninapokuwa na mawazo mengi ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.